Orodha ya Wabunge wa CCM watakaoshindwa kurudi 2025

Tumaini magesa wa jimbo la busanda atakomea kura 3 tu, mpaka sasa wanabusanda wanatatuliwa shida zao na MTANZANIA MWENYE ASILI YA RWANDA, PACHA WA WAZIRI WA X NA OFISA MWANDAMIZ HUKO WIZARA YA MAMBO YA NJE KITUO CHA KAZI UBALOZ WA TZ MSUMBIJI.
 
Humjui Msukuma wewe,hata akienguliwa,akaenda upande wa pili anashinda tu. Ongelea hao wengine.
 
1. Ask. Gwajima
2. Nicholous Ngassa
3. Hamis Mwinjuma
4. Babu Tale
5.....
6.....
 
Unajidanganya...Dr Tulia ackson hawezi shindwa kwa miaka kumi tena ijayo
Unanikumbusha juzi hapa anapita ameacha gari vioo wazi anapunga mikono halafu watu hawana habari naye. Hayuko mioyoni mwa watu huyu
 

10 dr Tulia Akison
 
wote ambao Mwenyekiti wa CCM ataamua wasirudi, nchi hii ni ya mfumo chama kimoja.
 
Hao wataondoka watakuja wengine ambao pia watakua ni CCM.
 
Ukiona unaota ndoto za mchana kila wakati ujue karibu utakuwa chizi
 
Prof Ndalichako?

We jamaa utakua umeshiba Ulanzi. Mama anapiga kazi ambayo Hakuna mburura mwingine aliwahi kuifanya! Umekuru-P
 
Wanasiasa hasa ccm Wana laana, pamoja na kiinua mgongo cha zaidi ya 200m bado anaogopa kujiajiri huku wakiwakomalia vijana wasio na mitaji wajiajiri.What a shame!
Wa CHADEMA wamejiajiri?
 
Yule wa jalalani ni vipi? mbona hata hasikiki?
 
Msukuma anarudi bungeni.

Magesa wa Busanda holaaa
Wa Bukoba mjini holaaa
Akina Gwajima, Waitara, Silinde, Katambi and co. holaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…