Uchawi wa ghana noma mzeya yaani wanaume wote wa yanga pale pamoja na jamaa kuwa waga mwenye kesi bado tena mkamkaribisha nyumbani kwenu🤣🤣🤣🤣 hapo ni tosha kisema kuwa uongozi hauna akiliDah! hiyo shida tunayo kaka inabidi tuivumilie tu mpaka imalize mkataba.... mchezaji kila game lazima apaniki uwanjani
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Dah! Nimechanganyikiwa, ile mambo naona nikiipiga kimya kimya maanake hii wiki sitapumua kwa amani.Mzeya wee leo ni maumivu tuu pande zote 🤣🤣🤣🤣
Sidhani kama uchawi mkuu.... ni uongozi kutaka masifa ya kijinga toka kwa mashabiki kumrudisha morisson au kisindaUchawi wa ghana noma mzeya yaani wanaume wote wa yanga pale pamoja na jamaa kuwa waga mwenye kesi bado tena mkamkaribisha nyumbani kwenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ni tosha kisema kuwa uongozi hauna akili
Ilitakiwa apandishe kiwango mkuu ye nae toka arudishwe pale hakuna lolote analolifanya.... na ikitokea mayele kaumia sijui itakuwaje tu pale mbeleMakambo mnamuonea tu
Sidhani kama uchawi mkuu.... ni uongozi kutaka masifa ya kijinga toka kwa mashabiki kumrudisha morisson au kisinda
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Acha uongo mkuu Nabi amewapiga Zalan nje ndani jumla ya magoli 9Kweli kabisa, jamaa hajawahi kushinda mechi za kimataifa na Yanga. Haya mambo ya kuhonga marefa yametuumbua panapo stahili.
Hakuna kikosi Bora yanga niliyoina toka nimeanza kushabikia mpira kama kikosi kilichopo sasa....... Nawaza tuu lkn😂1. MORISSON
2. KISINDA
3. MAKAMBO
4. AMBUNDO
5. ........
Namba moja na mbili sijui kwa nini walirudishwa
Namba tatu na nne Havana mchango wowote kwa timu.
Ongezea wengine ambao ni mzigo wanakula mishahara ya bure tu .
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Lakini hapewi nafasi we unafikiri huo ubora wake utauonea wapi?Ilitakiwa apandishe kiwango mkuu ye nae toka arudishwe pale hakuna lolote analolifanya.... na ikitokea mayele kaumia sijui itakuwaje tu pale mbele
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Makambo mnamuonea tu
Tatizo Yanga Chawa Wengiiii
Kwan zalan fc wanatokea mkoa gani hapa bongo? mbn wamepigwa halafu unasema kocha hajawahi kushinda kimataifa. Timu zinazidiana uwezo, lakini pia mpira una matokeo matatu lolote linatokea , timu zote zinatafuta matokeoKweli kabisa, jamaa hajawahi kushinda mechi za kimataifa na Yanga. Haya mambo ya kuhonga marefa yametuumbua panapo stahili.
Mchezaji mwenyewe wa mechi mojamoja..... atacheza vizuri mechi hii.... nne zijazo utopolo mtupuKwa haya matokeo kuna panga litapita ili mashabik waone uongoz upo serious na lengo ni kupunguz pressure..:mkiambiwa sajilin wachezaj wanaoelewa haya mashndano...mnakuja kumpoka morosn kutoka simba eti kisa kaisaidia simba msimu uliopita kufika robo fainali..achaneni na usajil wa miemuko
Mlikesha airport kumpokea kwa mapenzi 1000%. Kumbe mlioneshwa video ya mchezaji mwingine.Aziz k ndo mzgo wa kwanza
Kikosi cha 2b hakina mambo mengi na hakihitaji trialsLawama zote pelekeni kwa uongozi. Wewe unajiandaa na mechi za kimataifa bila kucheza mechi za kirafiki zenye uzito wa kimataifa?
Wachezaji hawana hatia wako vizuri sana shida uongozi wenu uliendelea kupiga kampain hata baada ya uchaguzi.
Maji yamefika shingoni ndo mnaelewana.Ilitakiwa apandishe kiwango mkuu ye nae toka arudishwe pale hakuna lolote analolifanya.... na ikitokea mayele kaumia sijui itakuwaje tu pale mbele
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Hata hawakusanda kwa nini tulimuacha tu na kumpa releasing letter mapema bila hata kufikia mwshon mwa mkataba wake...kwel wenye akili pale ni wawili tuMchezaji mwenyewe wa mechi mojamoja..... atacheza vizuri mechi hii.... nne zijazo utopolo mtupu
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app