Orodha ya wana Jamiiforums wanaoongoza kwa mashushu makali.

GENTAMYCINE hana mashushu ila ana matusi na masifa ya Kijita huku akijifanya Mnyarwanda.
Hivi idara za usalama zinashindwaje kumkamata baradhuli huyu ambaye kila uchao yeye ni kuitusi tu idara yetu ya Usalama wa Taifa?

Kuna unayoyajua na usiyoyajua. Nakuomba tulia na itafakari kwa Kina sana hii Kauli. Na najua huu ' Uzi ' umeanzishwa ' Kimkakati ' kabisa ili baade Mtu anitaje Mimi kama ulivyofanya Wewe hapa ili Mimi sasa ndiyo nibebe ' Maudhui ' mazima ya ' Uzi ' huu kwani hapa JamiiForums asipozungumziwa / asipozungumzwa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE Jamvi halinogi.

Haya nimeshajibu sasa hivyo ni matumaini yangu kuanzia sasa kitakachojadiliwa siyo ' Mada ' husika iliyoko mezani bali ni GENTAMYCINE kama ambavyo ' Agenda ' yako na hao Wenzako ilivyokuwa. Kila Siku huwa nawaambia nina Kiburi, Nyodo na Jeuri kwakuwa najua Kichwani mwangu hasa ' Ubongoni ' Mwenyezi Mungu alitulia sana na mno na kunizidishia ' Madini ' ya Upeo, Fikra na Ujanja mwingi wa Kutambua mambo na kuwa na Maono ya Ndege Tai kuliko wengine wengi.

Namalizia tena kwa Kusisitiza Kwako kuwa kuna Unayoyajua na Usiyoyajua.

This is GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE.
 
Ha ha ha ha charismatic fellow sijui nini vile........
 

Tumetajwa wengi ila kwa wenye Akili na tuliokuzidi Akili tunajua kuwa lengo Mama ( Kuu ) la huu ' Uzi ' ni ' Kumjadili ' tu GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE kwani kama hajadiliwi Yeye Jamvi ' halinogi ' au kama Mtu anaona ' Kiki ' yake imepotea na sasa anataka Kuirudisha basi ni lazima ahakikishe kuwa anamzungumzia Mnyarwanda Mtanzania anayewasumbua Watu ' Vichwa ' hapa kila Uchao.

Haya sasa nimekurahisishia Kazi na imeanza rasmi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…