Orodha ya wana Jamiiforums wanaoongoza kwa mashushu makali.

Watu huwa wanasema mimi nna mashushu kumbe mnanisingizia mbona Buji hajaniona
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Me huwa mkweli.Nadhani hali yangu kuwa ngumu kiuchumi imenifanya kufikia hivi.Sasa utaomba dyudyu huna hata ya soda na baby?
Hahaa kumbe ni umepumzika kwa kuwa huna hela !!! My foot ... Hilo halikufanyi uepuke sofa yako ya kupenda papuchi.... By the way jina lako tu ni reference tosha
 
Hahaa kumbe ni umepumzika kwa kuwa huna hela !!! My foot ... Hilo halikufanyi uepuke sofa yako ya kupenda papuchi.... By the way jina lako tu ni reference tosha
Hahahah haya bana.Ww huwa hutumi tamu?
Hili jina ww umetafsiri upande huo wakat mie namaanisha vingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…