Orodha ya Wanawake kumi (10) mashujaa na viongozi bora kuwahi kutokea Tanzania

Watoto wa 2000 list yao wanawke mashujaa watakuambia zuchu,mobeto, ggy money,mashalove, uwoya, wulper nk hii list hawawezi kuielewa

Ova
 
Wangemtoa kwenye list hyo
Bora hata mama yangu angekuwepo hapo kwenye list

Ova
 
Walimnyanyua kutokea wapi , mpka kuja kuwa rais?
 
11. Nifah

 
Wangemtoa kwenye list hyo
Bora hata mama yangu angekuwepo hapo kwenye list

Ova
Mtoa mada ni mtu mpuuzi sana, ameshindwa ata kutambua maana ya mtu shujaa alafu anamwacha mtu aliyekatwa kichwa na wakoloni akiwapigania watubwake kwenye namba 10 huko alafu anamweka aliewaibia wananchi wake pesa za kufanikisha kesho yao namba 3.

Yaani aliyeathiri kesho yako anakuwa shujaa kuliko aliyetengeneza kesho yako.
 
Uzi huu umemuacha mbunge machachari Halima james Mdee alivyowagaragaza viongozi wake wa chama katika kutetea nafasi yake ya viti maalumu bungeni!
 
Na bado katiba hatujapata z hizi ujue ni hela nyingi mno jamani, yaani hizi hela achana nazo bana zinaweza zikakomboa wananchi wengi mno. Ama tunazo 650km tarmac road kabisa
 
Na bado katiba hatujapata z hizi ujue ni hela nyingi mno jamani, yaani hizi hela achana nazo bana zinaweza zikakomboa wananchi wengi mno. Ama tunazo 650km tarmac road kabisa
Bado wajinga wengine wanpindishwa kwenye mabasi huku wanakenua meno tu
 
nadhani ungeweka wazi tu kwamba,
hao ni miongoni mwa wanawake walio wahi kua na nafasi katika jamii, na unaowafahamu na kuwapenda zaidi lakini kiuhalisia ushujaa wao ni wa kumulika na kutafuta na tochi sana,

mtua anateuliwa tu kushika nafasi fulani ya uongozi ndio awe shujaa, wakati kuna wanawake mashushaa wa nguvu kibao tu waliothubutu kupamabana kitaifa na kimataifa na wanaume mashuhuri duniani na wakashinda nafasi za uongozi?

nadhani akitokea msichana akadai kwamba role mode wake katika uongozi ni miongoni mwa uliowaorodhesha, bilashaka hata wewe utashangaa na utajiuliza maswali mengi sana, kwamba huyo atakae mtaja awe role mode wake kwa lipi hasa, ukizingatia aliteuliwa tu na hakupambana kupata nafasi hiyo alowahi kuishikilia?

nadhani umekwepa kuwataja wanawake mashujaa
 
Samiah suluhu wapi?
 
Uko sawa na mimi nilimuuliza kwanini wanatoka nje ya lengo la siku yenyewe?

Kuna wanawake wamefanya makubwa katika , afya, michezo, sayansi na teknolojia, siasa, kilimo, biashara, n.k mbona hawaonwi hata kupewa nishani badala yake siku ya wanawake imegeuka siku ya Samia .
 
1. Bi. Samia Suluhu Hassan- Mtumishi wa Umma, Mbunge na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2021 hadi sasa.
3. Lucy Lameck - Mpigania uhuru, mwanazuoni, Mbunge na waziri wa Tanzania
3. Bibi Titi Mohamed- Mpigania uhuru na Mbunge
4. Anne Makinda- Mbunge na Spika wa Bunge la Tanzania
5. Getruda Mongella - Mwanaharakati wa Kutetea Wanawake.
6.Dr. Asha Rose Migiro - Mwanazuoni na Balozi mwandamizi
7. Dr. Zakhia Meghji- Mbunge na Waziri wa Tanzania
8. Tulia Ackson Mwansasu- Mwanazuoni, Mbunge na Spika wa Bunge la Tanzania
9. Hellen Kijo Bisimba - Mwanazuoni na Mkurugenzi wa Tume ya Haki za Binadamu Tanzania
10. Anne Henga- Tanzania Human Right Commission
12. Liti Kidanka - Mpigani uhuru kutoka Singida
13. Anna Makakala - Mwanazuoni na CGI
14. Nyamburi Mashauri- Askari na ADC wa Rais.
15. Kuna Mama mmoja alikuwa Kanali wa JWTZ kwa sasa amestaafu.
17. Gaudencia Kabaka- Mbunge na Waziri mstaafu
18. Dr. Stegomena Tax - Katibu wa SADC, mbunge na Waziri wa Ulinzi
17. Amina Salum- Balozi kutoka Zanzibar.
18. Mwami Theresa Ntare- Malkia /Chifu wa Waha.
19. Mawaziri wengi wanawake kama Ummy Mwalimu, Dr. Dorothy Gwajima, Angelina Mabula- Waziri mstaafu. nk
 
Huyo Lucy Lameck jina lake limepewa barabara Ujeruman...right?Bibi Titi nae alibahatika hii bahati?
 
Sa100 hafai kuwa among them.

Labda kwa sababu unatumia akili yako na device yako kuandika hapa ndiyo utatulazimisha kumsoma ktk hii list but huyo hata kuwashikia tu porch zao kwa wakati wao asingeteuliwa.....amini kwamba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…