Orodha ya Wanawake kumi (10) mashujaa na viongozi bora kuwahi kutokea Tanzania

Sophia Simba hayumo ? Au sababu alimpinga Jiwe na Saa 100? Mbona yuleee.....walikuwa wote na kala shavu.....??
 
Sophia Simba hayumo ? Au sababu alimpinga Jiwe na Saa 100? Mbona yuleee.....walikuwa wote na kala shavu.....??
Ubaguzi,chuki na husda.
Ila Sophia Simba ana mbwembwe sana.Alitueleza yeye na familia yake hawajawahi kuona chawa hata kwenye picha.
 
Ubaguzi,chuki na husda.
Ila Sophia Simba ana mbwembwe sana.Alitueleza yeye na familia yake hawajawahi kuona chawa hata kwenye picha.
Hahajaha...jeuri pesa bure wakati ule....kabla kuwa kwenye siasa JK alimtoa akiuza vitabu...bookshop akiwa kawaida kabisa......wanasiasa wanajisahau sana...mfano Mhagama amejisahau sana kujiona Mungu mtu na hizo 6bil zake ukwasi alionao....watoto wake mabwanyenye hawafanyi kazi yyt na hawawezi lolote.....yaani sjidaa sanaa
 
Hatari hiyo.Ajirekebishe.
 
Umewasahau
Thabitha Siwale
Anna Tibaijuka
Anna Abdallah
Marehem Bi Kidude
 
Mfano nani na nani?
 
Mbona Namba moja hujamuweka Mama Mtukufu?!
 
Sawa kabisa, lakini sio Samia wala akina Tulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…