Orodha ya wasanii walioamua kuachana na sanaa na kumrudia Mola Muumba

Orodha ya wasanii walioamua kuachana na sanaa na kumrudia Mola Muumba

hata mimi

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2017
Posts
1,356
Reaction score
1,442
Wadau habari...

Kuna waimbaji na waigizaji ambao ilifika kipindi wakaamua kuachana na kazi zao hizo na kuamua eidha kuendelea na kazi hiyo kwa njia ya kuridhiwa na Mola (mfano qaswida, gospel na maigizo ya stara na staha) au kuacha kabisa na kuamua kujiingiza kwenye shughuli nyingine halali za kimaendeleo

Taja unaemjua, alichokuwa anafanya na anachofanya kwa sasa

Mimi nawajua wachache mfano;

-Cat Stephens, mwimbaji ambaye alikuja kusilimu (kuwa mwislamu) akajiita Yusuf Islam kisha akaanza kuimba qaswida

-Saigon, aliyekuwa msanii wa rap Tanzania ambaye kwa sasa anatangaza kwenye redio imaan (redio ya dini)

-Masanja Mkandamizaji, aliyekuwa mwimbaji ambaye kwa sasa mchungaji
 
1. Suma Lee,now anaomba qaswida

2. Dulayo,yeye kaacha kuimba kawa chapombe

3. Mzee Yusuph aliacha kuimba akamrudia MUNGU wake,akaamua kujiingiza kwenye biashara Ila akapigwa tukio na ostaz mwenzie ambalo likimfanya afilisike na kuanza kupanda daladala na akauza nyumba zake. Mambo alipoona yamekuwa magumu zaidi akaamua kurudia kuimba,akarudi na slogan yake 'Mzee anarudi mjini ' so now amerudia tena mziki

4....
 
1. Suma Lee,now anaomba qaswida

2. Dulayo,yeye kaacha kuimba kawa chapombe

3. Mzee Yusuph aliacha kuimba akamrudia MUNGU wake,akaamua kujiingiza kwenye biashara Ila akapigwa tukio na ostaz mwenzie ambalo likimfanya afilisike na kuanza kupanda daladala na akauza nyumba zake. Mambo alipoona yamekuwa magumu zaidi akaamua kurudia kuimba,akarudi na slogan yake 'Mzee anarudi mjini ' so now amerudia tena mziki

4....
Umeambiwa utaje waliomrudia MUNGU wewe unamtaja Dullayo
 
1. Suma Lee,now anaomba qaswida

2. Dulayo,yeye kaacha kuimba kawa chapombe

3. Mzee Yusuph aliacha kuimba akamrudia MUNGU wake,akaamua kujiingiza kwenye biashara Ila akapigwa tukio na ostaz mwenzie ambalo likimfanya afilisike na kuanza kupanda daladala na akauza nyumba zake. Mambo alipoona yamekuwa magumu zaidi akaamua kurudia kuimba,akarudi na slogan yake 'Mzee anarudi mjini ' so now amerudia tena mziki

4....
Nimecheka sana namba mbili
 
1. Suma Lee,now anaomba qaswida

2. Dulayo,yeye kaacha kuimba kawa chapombe

3. Mzee Yusuph aliacha kuimba akamrudia MUNGU wake,akaamua kujiingiza kwenye biashara Ila akapigwa tukio na ostaz mwenzie ambalo likimfanya afilisike na kuanza kupanda daladala na akauza nyumba zake. Mambo alipoona yamekuwa magumu zaidi akaamua kurudia kuimba,akarudi na slogan yake 'Mzee anarudi mjini ' so now amerudia tena mziki

4....
Sasa dulayo wa nini hapa
 
Umeambiwa utaje waliomrudia MUNGU wewe unamtaja Dullayo
Je kama pombe ndo Mungu wake?

Wahindi wanasema ngo'mbe ni Mungu wao so hata yeye kwa mujibu wa mtazamo wake anaweza kuwa yupo sahihi hakuna wa kumpangia.
 
Umeambiwa utaje waliomrudia MUNGU wewe unamtaja Dullayo
Kuimba qaswida na kuswali/kusali ndy kumrudia MUNGU.!

.Kwani dullayo unakataa vp km Hajamrudia MUNGU?

Nani amekupa uwezo wa kuhukumu wengine? Kisa nimesema amekuwa chapombe ndy Hajamrudia MUNGU?
 
1. Suma Lee,now anaomba qaswida

2. Dulayo,yeye kaacha kuimba kawa chapombe

3. Mzee Yusuph aliacha kuimba akamrudia MUNGU wake,akaamua kujiingiza kwenye biashara Ila akapigwa tukio na ostaz mwenzie ambalo likimfanya afilisike na kuanza kupanda daladala na akauza nyumba zake. Mambo alipoona yamekuwa magumu zaidi akaamua kurudia kuimba,akarudi na slogan yake 'Mzee anarudi mjini ' so now amerudia tena mziki

4....
Ostaz gani huyo alimuua mwenzake kiuchumi kiasi kile?
 
Crystal bassette
alkua mcheza pono maarufu Sana duniani, alikubuhu kwa kuhimili BBC za hatari hatari, alikua anamwaga uno na kutoa ndogo Kama Hana akili nzuri vile[emoji28]

Chakusikitisha
Eti alikuja kuachana kabisa na tasnia na kufungua kabisa kanisa lake mwenyewe.

Sikuhizi Ni anajiita mchungaji,
yaani ni PASTOR[emoji116]
images-953.jpg
images-952.jpg
images-951.jpg
images-956.jpg
images-954.jpg
images-955.jpg
 
Ostaz gani huyo alimuua mwenzake kiuchumi kiasi kile?
Ni stori ndefu mkuu.Ila alipoamua kuacha muziki na kumrudia MUNGU alipokelewa na watu ambao walimwingiza ktk biashara,ambapo baadae kuna ndugu yake mmoja ktk hiyo biashara alimtapeli na kumdhurumu Mali zote
 
Back
Top Bottom