Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Huyo ndg bado anaishi?Ni stori ndefu mkuu.Ila alipoamua kuacha muziki na kumrudia MUNGU alipokelewa na watu ambao walimwingiza ktk biashara,ambapo baadae kuna ndugu yake mmoja ktk hiyo biashara alimtapeli na kumdhurumu Mali zote