Huyo ndg bado anaishi?Ni stori ndefu mkuu.Ila alipoamua kuacha muziki na kumrudia MUNGU alipokelewa na watu ambao walimwingiza ktk biashara,ambapo baadae kuna ndugu yake mmoja ktk hiyo biashara alimtapeli na kumdhurumu Mali zote
Mkuu🤔🤔..😅😅Huyo ndg bado anaishi?
Mungu wa kweli wa pekee, ni mmoja na ni yule anayeabudiwa katika Kristo Yesu Bwana.Kwani Wewe ume specify Mungu gani?? Hata pombe kwa mwingine ndio inaweza kuwa Mungu wake inategemeana na jinsi MTU anavyooamini kuhusu Mungu!
Yaani nivute mpunga huo wote labda 500ml nipate na mida wa kuvinjari jf?Mkuu🤔🤔..😅😅
Au ni wewe nini ndy umemdhurumu Mzee yusuph? Alafu unanichora,maana maswali yanaongezeka Tu
Anaigiza maishaCorrection: Masanja bado anaigiza
Kwa hiyo Dullayo kuwa cha pombe ndiyo kumrudia Mungu🙄1. Suma Lee,now anaomba qaswida
2. Dulayo,yeye kaacha kuimba kawa chapombe
3. Mzee Yusuph aliacha kuimba akamrudia MUNGU wake,akaamua kujiingiza kwenye biashara Ila akapigwa tukio na ostaz mwenzie ambalo likimfanya afilisike na kuanza kupanda daladala na akauza nyumba zake. Mambo alipoona yamekuwa magumu zaidi akaamua kurudia kuimba,akarudi na slogan yake 'Mzee anarudi mjini ' so now amerudia tena mziki
4....
Hawa ndio wakikwambia "nimeokoka" unaona kweli kaoka kutoka kwenye kitu ganCrystal bassette
alkua mcheza pono maarufu Sana duniani, alikubuhu kwa kuhimili BBC za hatari hatari, alikua anamwaga uno na kutoa ndogo Kama Hana akili nzuri vile[emoji28]
Chakusikitisha
Eti alikuja kuachana kabisa na tasnia na kufungua kabisa kanisa lake mwenyewe.
Sikuhizi Ni anajiita mchungaji,
yaani ni PASTOR[emoji116]View attachment 2277612View attachment 2277613View attachment 2277614View attachment 2277615View attachment 2277616View attachment 2277617
Mzaha huuPastor Mc Pilipili
Ukipata muda tembelea kanisa lake ushiriki ibada, hutajuta.Mzaha huu
Huo Muda Ni Bora nicheki 2023 FIBA Basketball World Cup qualification (Africa)Ukipata muda tembelea kanisa lake ushiriki ibada, hutajuta.
mkuu unapenda kikapuHuo Muda Ni Bora nicheki 2023 FIBA Basketball World Cup qualification (Africa)
Mungu anahuruma sana na sisi binadamu na maranyingi anatusamehe hata makosa yako yawe makubwa na mabaya kiasi gani ukirudi kwake kwa kujutia kunyenyekea na kutubu kutoka rohoni unapata second chance tujitahidi sana kutubu endapo tutaingia majaribuni, make sure hauja fumba macho yako kulala kabla haujatubu sababu haujui siku wala saa itakapo kua mwisho wa pumzi yako hapa duniani. mlango wa neema ukifungwa hakuna kutubu tena.Crystal bassette
alkua mcheza pono maarufu Sana duniani, alikubuhu kwa kuhimili BBC za hatari hatari, alikua anamwaga uno na kutoa ndogo Kama Hana akili nzuri vile[emoji28]
Chakusikitisha
Eti alikuja kuachana kabisa na tasnia na kufungua kabisa kanisa lake mwenyewe.
Sikuhizi Ni anajiita mchungaji,
yaani ni PASTOR[emoji116]View attachment 2277612View attachment 2277613View attachment 2277614View attachment 2277615View attachment 2277616View attachment 2277617