Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Acha kumchomeka sugu level za kina Nas na Ice Cube.Watoto wadogo ndio hawawezi kumuelewa Sugu.
Sugu is the most successful Rap star in Tanzania. He is the G.O.AT
Watoto waliozaliwa miaka ya juzi pia kule US hawamuelewi Ice Cube, Nas na malegend wengine wa zamani.
Daah hii package uliyoitaja hapa ni kiboko.Hapa wasanii wengi watakuwa hawana vipaji,
Kina Solo Thang, Balozi Dola Soul, Mr. Paul, Inspekta Haroun, Afande Sele, Ferouz, Daz Baba, Joslin, Sister P, Roho 7, Nuruel
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawaambia jaffarai hana uwezo afu wana panicMkuu Jafarai siyo wakutetewa kabisa hana uwezo wowote ngoma ndiyo hiyo tu alikuja kufanya na ushuzi mwingine et wali nazi..
Sugu mweupe kichizi hajui muziki kabisa ....yeye anajua kuhusu muziki ila muziki wenyewe hajuiAcha kumchomeka sugu level za kina Nas na Ice Cube.
SUGU HAJUI, hana Talent.
Kwani easy anacho kipaji?Akimsikiliza easy e wa west coast atakuambia hana kipaji
Nakumbuka hata enzi za Fish Crab kuna baadhi ya watu walisema Lamar hana kipaji wala ubunifu kwenye music production, beat zinafanana na anaweka makelele (sound tag). Akamua kufanya refixes kibao Na sasa ameamua kujikita kwenye car wash na kupika pilau. Sijui nae hana kipaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawaambia jaffarai hana uwezo afu wana panic
Ndo maana sahv kaamua kubali na car wash yake
Yeah, umenikumbusha jambo. Ukisiliza ngoma ya Wateule inaitwa WABAKIAJI au NINGETAWALA kama skosei Jay Moe alikoroma sana mule.Mchizi Mox anasema kuwa Majani hakupenda vile jamaa anavyoimba kwa kukoroma, akamshauri abadili na kuimba kwa sauti ya kawaida, Mchizi Mox akakataa. Majani akafanikiwa kumbadilisha Jay Moe, huyu ndio akaanza kuimba hivi tulimvyomsikia katika nyimbo zake, ila nae awali alikuwa akitoa sauti ya kukoroma kama Mox.
Hata hivyo Majani hakuwahi kusema kuwa Mox hana kipaji, ila aliona kibiashara atazingua. Mtazamo aliokuwa nao Majani hata mimi nilikuwa nao wakati naanza kumsikia Jose Chameleon na ngoma yake Mama Mia. Niliona ni msanii mwenye sauti mbovu na hawezi kutoboa kumbe sikuwa sawa. Ilikuwa ni mtazamo wangu tu na sio kuwa jamaa hakua na kipaji, sasa the same goes kwa Mox et al
Hajui mziki kabisa huyoKuna dogo aliwahi kuja kumshindanisha humu Juma nature na G Nako eti nani mkali kwenye chorus?. Yani mtu hadi unajiuliza what the fu.ck is this?.
Hana uwezo kabisa ni kundi lilikuwa linambeba.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawaambia jaffarai hana uwezo afu wana panic
Ndo maana sahv kaamua kubali na car wash yake
Ndio still Ni ngoma nzuri Sana.. inaonyesha kipaji cheke..Ni ngumu kutoa hit Kama ile Bila kipaji..Still D.R.E ?. Ile ngoma yote iliandikwa na Jay Z. Ila biti lake ni next level.
Acha wivu bhana sio poa hivo, Sugu ni habari ingine ndio baba wa taifa wa muziki wa kizazi kipya.Kalapina,
Huyu jamaa mbali na kuwa na harakati nyingi akiwa pamoja na kundi lake la Kikosi cha mizinga .ukweli ni kwamba hana kipaji cha music. Alipata umaarufu coz ametoka kipindi wasanii ni wachache
Sugu
Huyu jamaa ana majina kibao kama Mr two, jongwe, too proud na sasa anajiita Taita licha ya kuwa na heshima kama moja ya waasisi wa music wa hiphop tanzania , ukweli ni kwamba hana kipaji cha music
Jaffarai
Huyu ni moja ya member wa wateule alitamba na wimbo wa niko bize .lakini hakuweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu kutokana ukweli hana kipaji
Mchizi mox
Huyu pia ni member mwingine wa wateule ngoma zake zilizowahi kupata airtime ni mambo vp na chupa nyingine . lakini uwezo wake ni wa kawaida sana
Mike tee mnyalu
Huyu jamaa alipata airtime miaka ya zamani kwa ngoma zake lakini ukimskiliza ni wazi hana uwezo kabisa. Ni moja kati ya wasanii ambao huwa wanaandikiwa
Soggydog hunter
Huyu jamaa bora angebaki kwenye u presenter tuu huku kwenye music aliforce tuu hana uwezo kabisa ana ngoma nyingi ila iliyopenya ni kibanda cha simu pekee yake
Bou nako
Huyu alikua member wa N2N lakini tangu hakua na uwezo kabisa .nafkir wana walimbeba tuu kutokana na love .ila kwenye music jamaa hana kipaji
Fido vato
Huyu member wa vatokoko soldiers ni empy kabisa , analazimisha fan tuu ila ukweli anaujua kuwa hana uwezo wowote ule zaidi ya kujikuta gangstar
Kr mulah
Huyu ndio founder wa style ya kucheza Mapanga . ameanza sanaa muda mrefu sana lakini ukimskiliza utagundua jamaa hana uwezo wowote kwenye music kwa kifupi hana kipaji
Mh temba
Huyu ni member wa TMK wanaume family mwanzoni alibahatisha ngoma kama tatu zikaenda mjini, baadaye akaja kuungana na chege wakatoa hadi album..ila ukimfuatilia vizur jamaa hana
uwezo kabisa
Rich one
Huyu pia ni member wa TMK alitamba na ngoma moja aliyomshirikisha Juma nature inaitwa hatuna kitu.baada ya hapo hajawai kutoa hitsong tena, Jamaa anasifika kwa utapeli wa kuandaa show na wasanii fake huko mkoani afu anapiga hela
Dudu baya
Huyu jamaa aliotea ngoma kama tatu tuu ambazo zilimtambulisha vyema kwenye game .lakini alipata jina kwakua kipindi anatoka hapakua na upinzani mkali kama ilivyo sasa
Dark master
Huyu ndo muhasisi wa Chamber squard Nampa heshima kubwa sana kwa kuweza kuiweka dodoma kwenye ramani ya muziki , Lakini tukiongelea uwezo binafsi .jamaa anauwezo wa kawaida sana
John mjema,
The late John mjema alitamba na wimbo wa wachumba 30. Na ngoma zingine alizofanya kwenye kundi lao aliokua na kina the late steve 2kna buibui .lakini tukimzungumzia binafsi kimuziki jamaa hana kipaji cha muziki
Maujanja suppliers
Hawa jamaa nawakubali kwa harakati zao za street lakini kwenye music watupishe hawana vipaji .lakini wao wamekua wanalalamika wanabaniwa kitu ambacho sio ukweli
Kama unafuatilia music wa bongo fleva utakua unakubaliana na mimi hawa jamaa hawana talent za music kabisa
Nenda kaisikilize ngoma ya sugu ft billnas Taita uje ufute post yakoSasa fido vato naye msanii au mbabaishaji hivi unajua talent ww