Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Nampa heshima kama muhasisi wa bongo fleva lakini hio haiondoi ukweli kuwa sugu hana kipaji cha muziki
Get your fact right. Sugu sio muasisi wa bongo fleva ila aliweza kuibeba bongo fleva mabegani kwake miaka hiyo na kiufupi kipaji anacho.
 
Bang ya Nako2Nako skuwahi kuipenda hata kidogo( zote og na remix yake).

Mi wakati ule niliisikiliza sana BANG ya Mapacha, sikio langu likaisikiliza nikaona ndio kali.

Nakumbuka N2N na Mapacha waliingia kwenye mgogoro kiana ila wakayamaliza ki hip hop.
Naomba uziweke Hapa Bang zote Kama utaweza kiongozi..Mimi naikumbuka Bang ya N2N soldiers..
 
Watoto wadogo ndio hawawezi kumuelewa Sugu.
Sugu is the most successful Rap star in Tanzania. He is the G.O.AT
Watoto waliozaliwa miaka ya juzi pia kule US hawamuelewi Ice Cube, Nas na malegend wengine wa zamani.
 
Hawezi kuthubutu kusema hivo, Nature ni hazina ya taifa Top 10 ya wasanii kuwahi kutokea Nchii hii humkosi Nature yan apo unawaweka na kina Mbaraka Mwishee et al
Kuna dogo aliwahi kuja kumshindanisha humu Juma nature na G Nako eti nani mkali kwenye chorus?. Yani mtu hadi unajiuliza what the fu.ck is this?.
 
Wote wa zamani. Yaani zamani ulikua ukiingia studio tu umetoka.

Mfano kuna mwamba aliimba:

"Ni namna gani, tuta win, maishani hadi siku tutasema buriani.."

Aliimba utumbo haujawahi tokea ila alitoka kwa zama zile.
Wanaoimba utumbo alafu ukwa hit wapo wengi hata marekani wapo..
Sikiliza wimbo wa Nini mnataka mazee wa pig black anarap mambo yasiyoeleweka lakini wimbo Bora Sana kwa wakati huo..
 
Kuna dogo aliwahi kuja kumshindanisha humu Juma nature na G Nako eti nani mkali kwenye chorus?. Yani mtu hadi unajiuliza what the fu.ck is this?.
Anytime ntaenda na Nature......
Ila huo mlinganisho ulikuwa halali, Nako pia anachorous kali.
Kwa miaka ya 2010s yeye ndio mfalme.
 
Dogo umenitoa machozi kusema Sugu na Mike tee hana kipaji yan like serious mdogo wangu unakuja kutusi ma Legend humu.

Any way pengine nakusamehe kutokana na umri wako.

1.Sugu moto chini
2. Mambo ya Fedha
3.Jeuri
4. Hayakuwa mapenzi hii mgoma almost kila baada ya siku 3 naskiliza kuna mpenz wangu enzi hizo aliondoka tu na sikujua shida nini? Yani aliaga kama atarudi nikampa ma mazaga kibao ajabu hakurudi akasema ameolewa.

Ukija recently kama unavotaka ana ngoma inaitwa freedom na mtiti.

Vile anavoongea ndio u Mc wenyewe dogo unaliacha bit kama huna time nalo vile.

Dogo pumbavu sana wewe.
 
Dogo umenitoa machozi kusema Sugu na Mike tee hana kipaji yan like serious mdogo wangu unakuja kutusi ma Legend humu.

Any way pengine nakusamehe kutokana na umri wako.

1.Sugu moto chini
2. Mambo ya Fedha
3.Jeuri
4. Hayakuwa mapenzi hii mgoma almost kila baada ya siku 3 naskiliza kuna mpenz wangu enzi hizo aliondoka tu na sikujua shida nini? Yani aliaga kama atarudi nikampa ma mazaga kibao ajabu hakurudi akasema ameolewa.

Ukija recently kama unavotaka ana ngoma inaitwa freedom na mtiti.

Vile anavoongea ndio u Mc wenyewe dogo unaliacha bit kama huna time nalo vile.

Dogo pumbavu sana wewe.
Akimsikiliza easy e wa west coast atakuambia hana kipaji
 
Wote wa zamani. Yaani zamani ulikua ukiingia studio tu umetoka.

Mfano kuna mwamba aliimba:

"Ni namna gani, tuta win, maishani hadi siku tutasema buriani.."

Aliimba utumbo haujawahi tokea ila alitoka kwa zama zile.
Huo wimbo ameimba Fred Saganda, jamaa ana kipaji kikubwa tu ni vile hukumuelewa.

Music ni sanaa, na mimi naamini aliimba huu wimbo kuiwakilisha sanaa yake ya kipekee.

Na kuanzia hapo utaona watu kibao walishtuka na wakaanza kuimba kwa kutumia lafudhi ya makabila yao.

It's funny.
 
Kalapina,

Huyu jamaa mbali na kuwa na harakati nyingi akiwa pamoja na kundi lake la Kikosi cha mizinga .ukweli ni kwamba hana kipaji cha music. Alipata umaarufu coz ametoka kipindi wasanii ni wachache

Sugu

Huyu jamaa ana majina kibao kama Mr two, jongwe, too proud na sasa anajiita Taita licha ya kuwa na heshima kama moja ya waasisi wa music wa hiphop tanzania , ukweli ni kwamba hana kipaji cha music

Jaffarai

Huyu ni moja ya member wa wateule alitamba na wimbo wa niko bize .lakini hakuweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu kutokana ukweli hana kipaji

Mchizi mox

Huyu pia ni member mwingine wa wateule ngoma zake zilizowahi kupata airtime ni mambo vp na chupa nyingine . lakini uwezo wake ni wa kawaida sana

Mike tee mnyalu

Huyu jamaa alipata airtime miaka ya zamani kwa ngoma zake lakini ukimskiliza ni wazi hana uwezo kabisa. Ni moja kati ya wasanii ambao huwa wanaandikiwa

Soggydog hunter

Huyu jamaa bora angebaki kwenye u presenter tuu huku kwenye music aliforce tuu hana uwezo kabisa ana ngoma nyingi ila iliyopenya ni kibanda cha simu pekee yake

Bou nako

Huyu alikua member wa N2N lakini tangu hakua na uwezo kabisa .nafkir wana walimbeba tuu kutokana na love .ila kwenye music jamaa hana kipaji

Fido vato

Huyu member wa vatokoko soldiers ni empy kabisa , analazimisha fan tuu ila ukweli anaujua kuwa hana uwezo wowote ule zaidi ya kujikuta gangstar

Kr mulah

Huyu ndio founder wa style ya kucheza Mapanga . ameanza sanaa muda mrefu sana lakini ukimskiliza utagundua jamaa hana uwezo wowote kwenye music kwa kifupi hana kipaji

Mh temba

Huyu ni member wa TMK wanaume family mwanzoni alibahatisha ngoma kama tatu zikaenda mjini, baadaye akaja kuungana na chege wakatoa hadi album..ila ukimfuatilia vizur jamaa hana
uwezo kabisa

Rich one

Huyu pia ni member wa TMK alitamba na ngoma moja aliyomshirikisha Juma nature inaitwa hatuna kitu.baada ya hapo hajawai kutoa hitsong tena, Jamaa anasifika kwa utapeli wa kuandaa show na wasanii fake huko mkoani afu anapiga hela

Dudu baya

Huyu jamaa aliotea ngoma kama tatu tuu ambazo zilimtambulisha vyema kwenye game .lakini alipata jina kwakua kipindi anatoka hapakua na upinzani mkali kama ilivyo sasa

Dark master

Huyu ndo muhasisi wa Chamber squard Nampa heshima kubwa sana kwa kuweza kuiweka dodoma kwenye ramani ya muziki , Lakini tukiongelea uwezo binafsi .jamaa anauwezo wa kawaida sana

John mjema,

The late John mjema alitamba na wimbo wa wachumba 30. Na ngoma zingine alizofanya kwenye kundi lao aliokua na kina the late steve 2kna buibui .lakini tukimzungumzia binafsi kimuziki jamaa hana kipaji cha muziki

Maujanja suppliers

Hawa jamaa nawakubali kwa harakati zao za street lakini kwenye music watupishe hawana vipaji .lakini wao wamekua wanalalamika wanabaniwa kitu ambacho sio ukweli

Kama unafuatilia music wa bongo fleva utakua unakubaliana na mimi hawa jamaa hawana talent za music kabisa
Shida ni kwamba wengi unawajaji kwa nyakti za sasa,kitendo cha kutoa nyimbo kwa nyakati zao na kuhit ni kipaji tosha ila soko la sasa bdo limewakataa,hata marijab rajab au remmy ongala leo hii wangetoa nyimbo ungewajaji hawana vipaji,hawa unaowaona wana vipaji leo next 10 years utasema walikuwa hawana vipaji....,hao uliowataja wengi wana vipaji ila siyo mpaka vifanane kama marapa wenu wa sasa,nyimbo kama Mstari wa mbele,umoja ni nguvu ulitaka pina aimbe nn ili umpe heshima ww mtoto usiyejua mziki,heshim wazee!!
 
Back
Top Bottom