Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Punguza ujinga aisee! unafahamu Sugu aliondoka Bongo miaka ya 2000 kupiga Deiwaka ulaya huko!?
 
Kwa kuwa banana hana hit song so banana siyo msanii wa muziki hahaaaa....some people are dumb as hell...
So what about Jermaine Fox, RZA, Fifty, Wayne????
 
UNaweza ukatusaidia vigezo mkuu, ila kamwe Sugu hawezi kuwa Tier 1.
Anarap kama Ngonjera......
Mfano, hii ni moja kati ya Verse zake, unaona jinsi anavyo babaika kutafuta mistari.
Nadhani ameimba na FA.

Msanii wa kwanza kuwa CEO/
Na kama ulikuwa hujui habari ndio hiyoo/
Na sikufoji vyeti kufikia hatua hiyo/
Mitaa inanikubali kwenye position hiyo/
 
So aliyeimba sumu ya Teja naye siyo msanii kwa kuwa hana hit song?
Au buibui aliyebaniwa Ruge akapigwa pini station zote au MB Dogg aliyepigwa pin na Fella naye hana kipaji
 
Temba na Mnyalu hapana umewaonea
 
I take him as a very good rapper I made it very clear. Mtu anayemuona hafai kuwa raper mzuri atoe vigezo. Mtu akituhumu aupe na vigezo.
Kwa mfano wako hapo juu maana yake ni kwamba unakubali kweli anaweza kurap ila uandishi wake hujaukubali kwa kuwa ameshindwa kubalance vina...yaani analazimisha vina. Kama hiko ndo kigezo chako weka wazi then wadau waanze kutumia kigezo Cha vina kum characterize Sugu. That is my point.
 
So hana kipaji cha ku rap?
Kama hana. Hana kama nani?
Yaani sugu hajui kulinganisha na nani? Wakati gani?
Tuna face Chache za Hiphop Bongo zilizofika juu Nyingi ziliishia kati. Kwa kutumia hizo hizo chache.
Prof jay >>>> Sugu
FA>>> Sugu
Fid>>>>Sugu
Nikki mbishi >>>> Sugu

Ni wengi, nikisema nitaje hapa nitataja karibu wasanii wote wa hiphop.

Japo ukiangalia wote hapo ni wadogo zake, lakini wmemzidi kila kitu kimuziki ukiondoa mafanikio binafsi.
Ameanza mapema anaweza jitetea technology ilikuwa ndogo bongo.

Lakini hata ukiskiliza album yake ya 2004 mbona bado uwezo ni mdogo? Amefanya kolabo na kina FA lakini wamemfunika kwenye ngoma zake mwenye.

Anastahili heshima kwa alichofanya, ni kati ya watu waliolay Njia lakini hii haiongezi chochote kwenye kipaji chake.
Staili yake ya kurap kama Ngonjera au mashairi ya "Malenga wapya" kulazimisha vina hakuna mtu atamsikiliza zama hizi.

Naskiliza album yake " Mimi" saiv, Alijitahidi kuongelea topics za msingi. Ila uwasilishaji doh hapana. Mashairi ya cheka cheka like.
 
Punguza ujinga aisee! unafahamu Sugu aliondoka Bongo miaka ya 2000 kupiga Deiwaka ulaya huko!?
Sasa sugu kwenda nje kupiga deiwaka inatuhusu nn sisi mashabiki ambaye tunajua wazi hana kipaji cha muziki..

Kadri unavozidi ku comment ndo unazidi kuonyesha upumbavu wako na ushamba .
 
Kwa kuwa banana hana hit song so banana siyo msanii wa muziki hahaaaa....some people are dumb as hell...
So what about Jermaine Fox, RZA, Fifty, Wayne????
Tatizo la kuvamia treni kwa mbele ....unaonyesha ulivo mpumbavu
 
Katika wote hao sugu, sugu hajui mziki, hajui kuimba, hana kipaji zaidi ya kujisifu tena hata kujisifia kwenyewe ktk nyimbo zake ni ujinga tu.

Kuna watu watafikiria labda na chuki nae ila ukweli ni kwamba hajui kabisa wala hajui mziki, mashabiki zake wengi ni kwasababu za kisiasa tu hakuna lingine
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yan verse mbovu kichizi afu kuna majinga hapa yanasema jamaa ana talent
 
Aisee! Wewe game hii unaifahamu. Hakuna ulichokosea hapo. Ni kweli kabisa.
 
So aliyeimba sumu ya Teja naye siyo msanii kwa kuwa hana hit song?
Au buibui aliyebaniwa Ruge akapigwa pini station zote au MB Dogg aliyepigwa pin na Fella naye hana kipaji
We unazidi kuonyesha ujinga wako , yan msanii akishindwa kupata airtime basi kabaniwa na ruge
Haya sasa ruge ameshafariki , huyo buibui mwambie atoe kazi zake zipate airtime
 
Temba na Mnyalu hapana umewaonea
Hawa jamaa , waulize producers wanavyopata tabu nao studio kwenye kurecord ...hawana uwezo hata kuingiza voko ni shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…