Orodha ya Watanzania waliosimama kupinga uwekezaji wa DP World; tuwataje historia iwahukumu au kuwapa maua yao

Katika umoja wao unaweza tu kusema ni CHADEMA na washirika wake basi.
 
Naomba kuongeza wafuatao walipaswa kucheza namba za awali kabisa kwenye list
11. MDUDE
12. Prof. Anna Tibaijuka
13. Askofu Bagonza
14. Halima Mzee
15. Ester Matiku
16. Baadhi ya JF members
18. Getrude Mongela
19. Luaga Mpina japo kagusa hi game kwa mbaaliiiii akanywea
20. John Pambalu/Mnyika/Salm Mwalimu
21. Kuna yule mzee wa Mbeya alitupiga sana shule akipinga watanzania kuitwa wezi ( ntamwita mzee mwenye exposure yake)
22. Askofu Shoo kagusa huu mpira kwa kauli moja kubwa " wanaopinga wasiitwe wadini"
24. TEC kwa mara nyingine nawapa chapter nzima kwenye kitabu cha ujasusi wa bandari kutoka kwa Eriko Nyerere
25. Mzee Shivji
26. Profesa Assad alijitahidi ila..............mtieni ngumu arudi kwenye reli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…