orodha ya watu waliosoma udsm na sifa zao


Uongo....
Kuna kilaza nipo nae ofisini ni kimeo hatari halafu anajifanya anajuuuuua matokeo yake anaharibu kazi badala ya kuomba aelekezwe asipoelewa anajifanya yupo busy kumbe anaharibu na kutuongezea majukumu wengine
 

Umeikosa LIKE yangu natumia Simu
ipokee kimoyomoyo
 
Kumbe mnajuana
 
Mnapiga kelele tu, UDSM ndio chuo kibora Tanzania itabaki kuwa hivyo hata mkipiga kelele.
 
We msela tangu udsm wakupge chini unaiandama sana!jilaumu mwenyewe kwa kuwa kilaza hadi ukashndwa kufaulu vzr form 6.pole sana.

Mlimani ilikua enzi zetu..vijana wasikuizi nyie wote wasanii.hakuna UDS wala UDO wote wale wale..Geographical location amigo...same same bro...Ukienda mabibo ndo vituko tu...na mmekua wizi sana wa mitihani na kufanya copy and paste kwenye Dissertation.
 
Msimsahau mtukufu dr. jakaya mrisho kikwete, na yeye kapatia hapo degree ya uchumi.
 
UD tumesoma watu wa aina mbili: vipanga sana na vilaza sana. Hakuna wa kati. Zaidi ya nusu ya wasomi wa nchi hii wamesoma UD...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…