Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
Wacha tuanze kusambaza matango ya GMOBasi acha kusambaza matango pori.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha tuanze kusambaza matango ya GMOBasi acha kusambaza matango pori.
Muhuni yule saa hizi anasukumiwa kitu na sheitwaniDuh, na vipi kuhusu yule aliyetuaga kwamba anaenda kuongoza malaika? Je yuko kweli huko akifanya kazi kama Kiranja Mkuu, au naye ni kuni tu kama wauaji wengine?
Mkinga?Niliemsikia nikamwamini ni
NYISAKI CHAULA
Wamewazidi hadi wale wasabato waliovamia airport na mabegi yao wanataka kusafiri bila nauli wala passport kama nziWalokole wamechanganyikiwa[emoji1]
Kuna mwanajf mwenzetu Kinengunengu wa huko mbeya ameshaenda pia akarudi.Ndugu zangu Wakristo wamepata neema ya kipekee ambayo ndugu zangu Waislam hawajawahi kuipata. Neema hiyo si nyingine ila ni ile ya watu kwenda mbinguni kisha kurudi.
Sijawahi kusikia Sheikh, Imam wala Maalim akijinadi kuwa ameshawahi kwenda mbinguni na kisha kurudi tena.
Haya mambo ya watu kwenda mbinguni tulianza kusikia kwa wahubiri wa Ulaya na Marekani, kisha baadae yake tukaanza kusikia kwa watumishi kutoka nchini Nigeria na sasa ni hapa kwetu.
Mwamposa sijawahi kumsikia akisema ameshawahi kufika mbinguni, ila nimemsikia Zumaridi.
Zumaridi alipotoka tu jela, first destination yake ikawa ni mbinguni. Kule alifanya mambo mengi makubwa ikiwa ni pamoja na kukutana na Mtakatifu Petro.
Zumaridi anasimulia kwamba Mtakatifu Petro alipagawa sana na uzuri wa Zumaridi. Hadi Peter akataka kumuoa Zumaridi kitu ambacho ni kinyume kabisa na utamaduni wa mbinguni. Biblia inasema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa, wote mnavishwa miili ya malaika.
Mtu mwingine aliyeenda mbinguni ni Mtanzania mwenzetu, Mwalimu Mwakasege. Huyu alipofika mbinguni alikutana na Yesu na nabii Musa.
Moses Kulola baba wa Uinjilisti na uamsho wa kiroho Tanzania naye poa alipata wasaa wa kutembelea mbinguni kisha akarudi tena hapa duniani.
Prophet Malisa ni mtu mwingine ambaye amekuwa na ziara za zaidi ya mara moja huko kwenye makao aliyotuandalia baba.
Deoniz Mtalemwa ni mtu mwingine aliyewahi kuionja pepo na raha zake kisha akarudi duniani.
Hawa ni Watanzania wachache tu. Wengine waliowahi kuipata neema hii ni wenzetu kutoka Malawi, Prophet Bushiri. Huyu ana uzoefu na milango ya mbinguni.
Jamani kila autafutaye ufalme wa mbinguni hakika atauona
Huko huko pia kuna mahali panaitwa Msalabani.Mbingu ipi mkuu
labda sehemu inayoitwa mbingu ipi ifakara huko morogoro
Ndagha fijo Mwaisa😂😂😂Mwaisa
Dah, nimecheka sana. Alienda mbinguni online.?Kuna mwanajf mwenzetu pia Kinengunengu wa huko mbeya ameshaenda.
YerewiiiiiMuhuni yule saa hizi anasukumiwa kitu na sheitwani
Msalabani ipo Matombo mkuuHuko huko pia kuna mahali panaitwa Msalabani.
Hamna alienda live bila chengaDah, nimecheka sana. Alienda mbinguni online.?
TomasoMbinguni ni wapi na unaweza kuthibitisha kupo?
Asante kwa angalizo.Msalabani ipo Matombo mkuu