Orodha ya watu wanaojiona wameyapatia maisha

🤣🤣🤣mbavu zangu
 
Namba 15 hapo najiona mimi kabisa. Fa mchezo na safari ya Kawe Mbagala tena hiyo ni deile, na earphones zangu hapo kama sio muvi basi ni mziki mkubwaaa!


Enewei kama una access ya kupata ule wimbo mpya wa Voda wa mtandao supa niwekee hapo nimeupenda
 
[emoji1787][emoji1787] dah,umenikumbusha mbali.
Ni hatari rafiki .

Huku wewe ni daktari pekee kwenye kituo cha Afya ila ukitoka na staff wenzako mkaenda kwenye mikusanyiko hawataki kujitambulisha kuwa wao ni manesi , lab technicians wanasema wao ni madaktari na mbwembwe nyingi unaishia kucheka tu .

Sasa unakuta mpaka mpaka wewe daktari wa kweli wanakijiji wanakudharau ila wanawaheshimu majunior wako .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
WANA JF especially wana MMU. Wao kila thread ni utani, kujibebisha na mizaha. Lila thread wataitana kwa kutagiana a kuanza kujibebesha. Mara umepika nini, mara sgem darling na upuuzi mwingi. Wanaboa sana na wanaona wameyapatia kweli.
 
Wenye mafile ya VPN za bure asee wanakuona ww ambaye hujapa kama msukuma ulietoka Simiyu leo...
 
Kuna kenge wengine, wameongezeka, sasa hv, utasikia, "si unajua sie ni wakaskazini" Wenyeji wa Arusha, Kilimanjaro! Utasikia wanajitapa kwamba wao, ilikuwa himaya inayojitosheleza, isingekuwa nyerere, tungekuwa nchi kamili,
Stupid cock suckers, blood fucken zao!
 
Um
Umewasahau watu wa masijala za halmashauri na wenzao wanaojiita HRO hapohapo Halmashauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…