Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
- #261
Special kwa kuwa ni wafiwa[emoji848]Pia wafiwa msibani halafu ukute wamevaa na sare, huwa wanajikuta sometimes.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Special kwa kuwa ni wafiwa[emoji848]Pia wafiwa msibani halafu ukute wamevaa na sare, huwa wanajikuta sometimes.
Hahaha ni sawa kabisa mkuuMkuu kama ukijikosa angalau kwenye mambo 5 kwenye hiyo orodha jitafakari sana. Kuna mahali unazingua.
Ki JF JF kweli tunaonekana tumeyapatia maisha[emoji23][emoji23]Joseverest Umewasahau wanaokuwa wa kwanza ku comment kwenye thread baada ya OP.
Sawa mkuuWaje tu good to go
Tena ukute ni lile kabila fulani hivi wapenda sifa utakomaNi shida unakuta majirani hawapumui kabisa
Huwaambii kitu kwa hao baba/mama wa kirohoWanajionaga wao ndio wapo sahihi sana, wanawasikiliza wachungaji kuliko yeyote yule.
Noma sanaHao yutiai nje nje
NBC, STANBIC, CRDB nkWatumishi wa umma ambao mishahara yao haipitii NMB [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh we jamaaDaaah kabisa umepiga Pentagon....kama ni makalio basi umegonga kiini chake![emoji3]
Wanaotembea na kijiti cha kuchokonolea meno mdomoni baada ya kushiba Ugali na Bamia.
Tupe experience[emoji1787][emoji1787] dah,umenikumbusha mbali.
Ndio hivyoUkweli mtupu...[emoji28][emoji23][emoji1787]
Raia wakishapataga kitu special kwa upekee basi wanajionaga wao maisha haya hapaNIT wanatoa hio course ya Customer service, aiseeee wanajiona wameyapatia maisha
Pamoja mkuu, am humbled [emoji120]ila kati ya watu humu JF ambao mabandiko yao siwezi acha kuyasoma ni pamoja na Joseverest he is very fanny.
ile exposure na experience kwake ni kupatia maishaKabisa, pia watu waliowahi kwenda nje ya nchi, lazima atahakikisha unalifahamu hilo[emoji1787] kwa namna yeyote ile.
Inategemea sio woteKwa staili hii Sasa Kila mtu ameyapitia maisha.
Ipi hiyo jamiiSisi tuna jamii yetu nyingine, bongo Bahati mbaya sana.
Umetisha mkuu kuwaongezea hawaNIT Kuna wale waliokua wanasoma aircraft maintainance walikua wajiona Wao ndo kilak2 pale chuoni
Shule wale candidate classes walikua wanajisikia Sana kama Wao ndo kilak2
Kuna yule jamaa anayepanda daladala anajuana either na konda au dereva na halipi nauli nao pia
Wale wenye div1 kuna kpnd flan walitamba Sana Sana
Wale wanaoongea kifaransa nao hawajatuacha salama kabsa
Wale waliokua wanakula special diet nao wamo
Wachezaji wa ligi kuu wakija kucheza ndondo wanajikuta Wao ndo Wao exceptional kabsa
Wale jamaa waliokuanga na dstv Miaka ya 2010 kwenda chini walikua wanajiona Wao ndo Wao
Wafanyakazi wa TPA, TASAC, TRA, TMDA, TARURA na wengineo nao hawako nyuma
Tuthibitishie14 sio kweli