Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
- #221
Flat Tummy Gang nimewaweka kwenye nyongeza paleUmesahau wale ndugu me/ke asikuw na kitambi nao huo maisha wameyapatia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Flat Tummy Gang nimewaweka kwenye nyongeza paleUmesahau wale ndugu me/ke asikuw na kitambi nao huo maisha wameyapatia
Nakubali [emoji375]Hao interectual arrogant ni pamoja na mchumi namba Moja anayeshauri wabunge waongelee uganga wa kienyeji hayo mambo mengine yamo kwenye mipango Yao ya trap na Nini sijui lakini akiulizwa trap ni Nini anapata kigugumizi hadi ana kaa
HahahaahaWatawala wa ccm na chawa wao
Sahihi kabisa teacher, utoto na kuchukulia poa kazi ndio chanzoJwtz zamani nidhamu ilikuwa juu sana, ila baada ya kamkete kuwa wengi utoto, ujinga umekua mkubwa
Ongezea hawa wakuitwa game, TFS, tanapa and likes ni vipumbavu balaa [emoji2][emoji2][emoji2]
Baadhi yao nyodo zao huwaponza..Wale wajinga wa kwenye makapuni ya simu
Watu wa Mlimani city wanajiona sana huku vibarua tu
Kabisa cha msingi tuheshimiane na tushirikiane vizuri kwenye maeneo yetu ya kazi na kwingineko tujenge maishaDah wengi ni ukweli ila tafuta tu life usichoke
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kuna mmoja mfupi hivi ndio alimleta marehemu baba wa taifa mlevi mlevi sijui km bado mzima.
Leo nimemuona huyo mtu mnayemsema hivyo ... Mule mule [emoji38][emoji38]Hapo hua wana malizia na durag la mchongo
Hizi imani zina namna yake kila mmoja anavutia kwakeSema wasabato nao hawako mbali sana.
Sidhani mkuu, mjadala upo wazi ongezea wengine wengi tu wamesahaulikaSasa si umetuongelea wote
Wa kishua wale Teacher [emoji23] Hizo dawa hasa hiyo sensodine nazionaga tu dukani ila kuulizia bei najishtukia..nazipaga tu salamu Hi [emoji4] halafu ni mwendo wa whitedent mambo yasiwe mengi [emoji736]Ongezea wale wanaotumia dawa za mswaki kama sensodyne, Colgate wanatuona tunaotumia whitedent kama tunaswakia mikaa [emoji57][emoji1][emoji1]
Basi ukute anawapigia story hapo kawakusanya kijiji daaah acha tu this lifeWale waliotangulia kuona mieleka kwenye runinga kabla wengine hatujapata huruma kutoka ITV walijiona wao wapo nchi tofauti na Tanzania
Wakazi wa Daslam na wale wanaojiita wasomiNa. 4 na 8 hawa watu ni balaa.
Aaah ajitokeze tumuone [emoji2960][emoji847][emoji848]Kuna mtanzania asiyefit popote hapo?[emoji1787]
Waje tu good to goWatakuanzishia vita mkuu, upo tayari...wazee wa apple watakupopoa mawe
Ni shida unakuta majirani hawapumui kabisaHii hulka ya kutaka kupenda misifa sijui wanafundishwaga wapi
mbona kuna Madokta PhD wanatoa madini mazuri tu na hawana mbwembwe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]There you are [emoji736]