Orodha ya watu wanaojiona wameyapatia maisha

Wanaobdet single match... Stake milioni.... Wanaijiona wamejipataa!

Akila code 2 mfululizo!... Hizo tambo zake!!....Kwa sisi wa jerojero na kutudharau...

Na vimilioni vinapigwa vilevile!....

Mamamak....!.wanarudi kwenye matreni yetu... Ama Wana disappear mazima! Majukwaani...wanatuacha
Sie Bado tupogo...
 
22 wavaa haya mayeboyebo na vijora
View attachment 2833810
Sijui kwann maisha hayako fair mpaka level hii?
Maana haya mayebo akivaa msichana wa kichina au kikorea au kijapani anatokelezea kwel yan anakua kama kamdoli..ila sasa akivaa mwajuma wa yombo dovya au Salome wa boko magengeni yaam unaona kabisaa kero!!😂
 
Mfano safari ya Tegeta-Kariakoo ukipata seat ukatulia ni mafanikio makubwa, we unachezea kusimama na kushikilia bomba na kila muda konda anakwambia Sogeeni nyuma gari bado leupe [emoji16]
Nishamata bomba toka Iringa mpaka Morogoro, na nyingine toka Mbeya mpaka Mikumi..hii ya mbeya mpaka mikumi mwenyewe nilisanda ikanilazimu tu ninunue debe la viaz niweke kwenye kisalfeti nikalie toka mikumi mpaka kibaha..😂😂 noma..ukisikia msafir kafir bas ndio mambo kama hayo!!
 
Kwahiyo wewe unadhani bila kuongelea watu ni kitu gani cha maana utaongelea kisichohusisha watu?
Kuna fursa zipi huko kwenu za ujasiriamali au biashara utaotuletea maendeleo?

Kwetu huku sasaa hivi msimu wa maenmbe umeanza, ukiinga mashamba ni ubwete, ukipeleka sokoni mjini Dar, hukosi faida.
 
hahah kuvuna nafsi
 
Mkuu huu utafiti uliufanya kwa muda gani?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Waache tu wapigwe mijimba,hakuna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…