ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 21,643 Reaction score 51,642 Dec 15, 2020 #1 ni kawaida yetu kubadili matumizi ya vitu! Chandarua tunafugia kuku Dawa ya meno tunapaka kidonda Mafuta ya transfoma tunapikia chips Gari ya wagonjwa tunapakiza mkaa Taja na kadhalika nyingine
ni kawaida yetu kubadili matumizi ya vitu! Chandarua tunafugia kuku Dawa ya meno tunapaka kidonda Mafuta ya transfoma tunapikia chips Gari ya wagonjwa tunapakiza mkaa Taja na kadhalika nyingine
Patiee JF-Expert Member Joined Sep 20, 2018 Posts 474 Reaction score 719 Dec 15, 2020 #2 Ukiwa kichaa unaitwa usalama wa taifa.
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 12,624 Reaction score 24,751 Dec 15, 2020 #3 SACCOS ya Mr Hai na Mr Mzungu inageuza chama cha siasa; Sisiemu iendelee kutawala tu na JPM azidi kuchapa kazi. Maendeleo hayana vyama.
SACCOS ya Mr Hai na Mr Mzungu inageuza chama cha siasa; Sisiemu iendelee kutawala tu na JPM azidi kuchapa kazi. Maendeleo hayana vyama.
Deejay nasmile JF-Expert Member Joined Nov 8, 2011 Posts 5,794 Reaction score 5,352 Dec 15, 2020 #4 Bafuni tunageuza ni gest house Sabuni tunaifanya demu Watoto wa boys schools wamenielewa Ndizi/matango ni muhim sana kwa matumiz ya wadada wa mjini
Bafuni tunageuza ni gest house Sabuni tunaifanya demu Watoto wa boys schools wamenielewa Ndizi/matango ni muhim sana kwa matumiz ya wadada wa mjini
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 15, 2020 #5 Kuna mambo yanafurahisha sana... Cc: mahondaw
Sita Sita JF-Expert Member Joined Aug 25, 2008 Posts 1,397 Reaction score 520 Dec 16, 2020 #6 kupigwa risasi tunageuza mtaji wa kisiasa