Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni uwekezaji mkuuMagachori wa CCM wameshika vichwa vya nyumbu wa kitanzania kweli kweli. Muda wote wanawaza mpira wakati vipande vya nchi vinanadiwa na rais na kundi lake. Endeleeni, siku mkija kuamka kwenye usingizi mliolala mtakuta hata sehemu ya kuweka bustani hamna.
Angalia content iliyopo...sio lughaAngeandika kiswahili kama Vishu Mtata hapa, ili ueleweke, andika lugha unayoimudu vyema.
Tatizo ni kwamba wanahabari wengi kingereza pumba, kiswahili mashudu akichanganya hupati kitu zaidi ya chakula cha nguruwe.
Hiyo elimu kampe KafulilaHuo ni uwekezaji mkuu
Njoo nikupe elimu ya PPP ... Public private partnership
hakuna serikali inayouza nchi
UTAPELIKwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.
1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)
2. Ingia Invite & Earn
3. Bonyeza Redeem
4. Weka hii code 2ZJVO8ZK
Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
Why PPP it's important???Hiyo elimu kampe Kafulila
Content hazielewekiAngalia content iliyopo...sio lugha
Kiongozi, nilifikiri labda ni English ya Cambridge!!Hicho kiingereza!!
Mimi nilidhani ni EPC + F kumbe ni PPP!Huo ni uwekezaji mkuu
Njoo nikupe elimu ya PPP ... Public private partnership
hakuna serikali inayouza nchi
Mkuu wamekuambia hiyo elimu yako ya PPP umpelekee Tumbili (Kafulila) au hujasikia? Hapa lete habari za Oruma na Oscar Oscar tu.Why PPP it's important???
Public-private partnerships (PPPs) are important because they leverage the strengths of both sectors to deliver public services and infrastructure efficiently.
They can bring together resources, expertise, and innovation from the public and private sectors to address complex challenges, improve service delivery, reduce costs, and spread risks.
Hizo ni sababu za Kwann PPP ni muhimu
Hapana PPP tunazungumzia ni kitendo Cha serikali kushirikiana na private sector.... stakeholders kwenye baadhi ya huruma za kijamii....kiuchumi etcMimi nilidhani ni EPC + F kumbe ni PPP!
Nilidhani ni mimi tu ndo sielewiHicho kiingereza!!