Orville Lynn Majors: Je alikuwa ni Malaika wa kifo……!


Hapo haswa ndipo panapotakiwa watu wafunguke na waweze kuset standard kwa kumpeleka mtabibu hata mmoja tu mahakamani. Tuache kubebana.
Na hivi vihospital nichinja chinja kwelikweli.

Natamani hii ungeitoa kwenye gazeti hasa yale yanayosomwa na watu makini ili tuweze kuibua hisia na kuungana kwa pamoja kuhakikisha matukio ya kutibu bila utaalam au kutibu kwa uzembe yanapungua au yanakoma kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…