oryx gas yao wanachakachua inaisha fasta sanaaaaaa..... nao tupo na lake na bei yake less than 50!Walee mliokuwaa mkimtukana basiasi njoooni hukuu
Oryx Gas wamepunguza gesi kuanzia kesho 4-3-2020
KG 6 BEI YA KUUZA 20" 000
BADALA YA 22" 000 YA AWALI
(2000) diff
KG 15 BEI YA KUUZA N 50'000
BADALA YA 54" 000 YA AWALI
(4" 000) diff
TUNASHUKURU KWA USHIRIKIANO WENU
ORYX GAS PAMOJA NAWE DAIMA
HAKUNA BUSSINESS Aiumizi KICHWA KAMA HII....WENGI WANAFUNGUA WAKIONA WATU..FANYA UTAFITI WA WINGI WA WATU KWANZA..ANGALIA UWEZO WAO..WEKA MZIGO
NINA SEHEMU NNE ZA GESI
KILA MOJA MINM KUBWA N 4/3
MINM KUBWA NAUZA 17
Z500
UJAUZA NDOGO HAPO..USIJEACHA KAZII M NILIANZA KUWA NA DUKA NIKIWA KAZINI KUSTAAFU IWE KUKUONGEZEA MITAJI TU USISUBIRI UPIGWE CHUMA NDIO UWEKEZE
Maajabu Gesi zote hizi hazitoki Tanzania (Mtwara au Kilwa Somanga)Nakubaliana na wewe, haiwezekani mtwara kuna gesi halafu 15Kg tununue kwa 50, angalau tuuziwe kwa 20000
Maajabu mengine kenya wanatumia gesi ya mtwara!!!Maajabu Gesi zote hizi hazitoki Tanzania (Mtwara au Kilwa Somanga)
Gesi wanazopaki Oryx Mihan, zinatoka nje ya Nchi
tumia Mihan kujaza mtungi mdogo ni 17,000
kuna member kasema Arusha ni 15,000 sijui ni Gas gani hiyo
Yeah
NO hakuna Gas iendayo KenyaMaajabu mengine kenya wanatumia gesi ya mtwara!!!
Kenya wananunua ges kutoka kwa hizo kampuni zinazovuna then wao ndio wanajaza kwenye mitungi yao, gesi yao inasafiri kwa matank kama yale yanayosafirisha mafuta, hawatumii meli wala bomba ni magariNO hakuna Gas iendayo Kenya
Mtwara wenyewe hawaitumii wanatumia Mihan, Oryx, Lake nk
p.se hiyo mitungi ya Gas ya Mtwara inaitwaje, au ni hii Gas iliyofika hapo Dsm toka Somanga iliyokuja kwa bomba imesharuka na kufika Kenya?
20000 ÷ 30 = 666.66667 ≈ 700 (per day)Mimi naona bado haijamkomboa mtanzania wa hali ya chini kwa mtu wa kipato cha chini kwa 20,000 bado sana labda wangeshusha mpk 15,000 kidgo ingekuaa ina tija
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo kali sijawahi iona wala kumezaKenya wananunua ges kutoka kwa hizo kampuni zinazovuna then wao ndio wanajaza kwenye mitungi yao, gesi yao inasafiri kwa matank kama yale yanayosafirisha mafuta, hawatumii meli wala bomba ni magari