sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Yule mchambuzi bora wa soka toka EFM, Oscar Oscar a.k.a Mzee wa Kaliua, ameuliza hilo swali.. Wadau tumsaidie kumpa majibu.
Naanza na mimi..
"Siku hiyo ndo itakua siku ya mwisho Kindoki kucheza mpira.. Kwa kifupi atamstaafisha.. Na natamani iwe 30/09/2018" - Sembo
NB: Simba SC leo mida ya saa 10 jioni atakua katika dimba la CCM Kambarage akipambana na Mwadui FC.
Naanza na mimi..
"Siku hiyo ndo itakua siku ya mwisho Kindoki kucheza mpira.. Kwa kifupi atamstaafisha.. Na natamani iwe 30/09/2018" - Sembo
NB: Simba SC leo mida ya saa 10 jioni atakua katika dimba la CCM Kambarage akipambana na Mwadui FC.