Oscar oscar: Kila timu ikimkamia sana Yanga lazima ishuke daraja

Oscar oscar: Kila timu ikimkamia sana Yanga lazima ishuke daraja

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Nimetafakari Sana na kuikumbuka Lipuli FC ya Iringa ambayo ilishuka daraja baada ya kuonekana inaikomalia club ya Yanga.

Mashabiki na wanachama wa Yanga walisema tutahakikisha Lipuli inapotea katika mpira wa miguu na kweli ni msimu huohuo ambapo moja ya tukio la kukumbukwa ni mpira uliokitwa ndani ya nyavu za goli refa kuamua ni iwe kona ilihali mpira haukuguswa na mchezaji yeyote wa Yanga zaidi ya golikipa wao kuuokota ndani ya wavu.

Kitu hicho kilihaidiwa juzi na mashabiki wa timu hiyo pale Ihefu ilipowakunguta goli 2.Waliumia Sana na wakati wakihojiwa walisema wataifanyia Ihefu kilekile walichoifanyia Lipuli.

Tangu mechi hiyo mpaka sasa Ihefu imecheza mechi 8 bila kupata ushindi katika michezo hiyo waluyocheza nyumbani na ugenini

Msimu huu wameshuka dimbani Mara 12 na wamepata ushindi Mara 2 sare 4 na vipigo 6.

[emoji989]Wananchi mna tabia mbaya [emoji3][emoji3]
IMG-20231124-WA0002.jpg
 
Nimetafakari Sana na kuikumbuka Lipuli FC ya Iringa ambayo ilishuka daraja baada ya kuonekana inaikomalia club ya Yanga.

Mashabiki na wanachama wa Yanga walisema tutahakikisha Lipuli inapotea katika mpira wa miguu na kweli ni msimu huohuo ambapo moja ya tukio la kukumbukwa ni mpira uliokitwa ndani ya nyavu za goli refa kuamua ni iwe kona ilihali mpira haukuguswa na mchezaji yeyote wa Yanga zaidi ya golikipa wao kuuokota ndani ya wavu.

Kitu hicho kilihaidiwa juzi na mashabiki wa timu hiyo pale Ihefu ilipowakunguta goli 2.Waliumia Sana na wakati wakihojiwa walisema wataifanyia Ihefu kilekile walichoifanyia Lipuli.

Tangu mechi hiyo mpaka sasa Ihefu imecheza mechi 8 bila kupata ushindi katika michezo hiyo waluyocheza nyumbani na ugenini

Msimu huu wameshuka dimbani Mara 12 na wamepata ushindi Mara 2 sare 4 na vipigo 6.

[emoji989]Wananchi mna tabia mbaya [emoji3][emoji3]View attachment 2833471
Washamba sana yanga wao wameifunga simba goli 5 ila hali swari yaani wao kufungwa na ihefu imekuwa nongwa msemaji wao kila inapocheza ihefu anapost anasema na leo wazee wangu fanyeni kazi.
 
Hii nchi tungekua mbali sana kimpira isingekuwepo yanga....

Hawa jamaa wana fitina za kijinga sana...

Wako kama nyoka, anakung'ata halafu hakuli...

Hata hizi draw za simba, wao ndio wamefunga wachezaji wetu.
Halina ubishi..ushasikia ni timu ya kiswahili hili...wasio na elimu ni wengi...
Na ni wanga wa kutupwa...
 
Back
Top Bottom