Hakika si ndo maana mwaka jana waliaga kwenye fainali!!!!Jamaa wanaendekeza ushirikina ndio maana kimataifa hamna wanachokifanya wakifika mapema wanaaga.
Aah poa poa kamanda ,,singda nao sio mbaya sanaAmna labda kidgo naikubali singida big star
kwani si mlitufungaga 5 mgomo wa wachezaji mbona hali pia ilikuwa shwari...hawa wengine nyie ndo mnawaponza kuwapa hela ili watukamie NAUNGA MKONO MKAKATI WA KUWASHUSHA DARAJA IHEFUWashamba sana yanga wao wameifunga simba goli 5 ila hali swari yaani wao kufungwa na ihefu imekuwa nongwa msemaji wao kila inapocheza ihefu anapost anasema na leo wazee wangu fanyeni kazi.
Edo punguza shobo basi.Nimetafakari Sana na kuikumbuka Lipuli FC ya Iringa ambayo ilishuka daraja baada ya kuonekana inaikomalia club ya Yanga.
Mashabiki na wanachama wa Yanga walisema tutahakikisha Lipuli inapotea katika mpira wa miguu na kweli ni msimu huohuo ambapo moja ya tukio la kukumbukwa ni mpira uliokitwa ndani ya nyavu za goli refa kuamua ni iwe kona ilihali mpira haukuguswa na mchezaji yeyote wa Yanga zaidi ya golikipa wao kuuokota ndani ya wavu.
Kitu hicho kilihaidiwa juzi na mashabiki wa timu hiyo pale Ihefu ilipowakunguta goli 2.Waliumia Sana na wakati wakihojiwa walisema wataifanyia Ihefu kilekile walichoifanyia Lipuli.
Tangu mechi hiyo mpaka sasa Ihefu imecheza mechi 8 bila kupata ushindi katika michezo hiyo waluyocheza nyumbani na ugenini
Msimu huu wameshuka dimbani Mara 12 na wamepata ushindi Mara 2 sare 4 na vipigo 6.
[emoji989]Wananchi mna tabia mbaya [emoji3][emoji3]View attachment 2833471
Mkuu unasahau sana si juzi tu hapa wakuu wa mikoa ilikuwa wanatangaza hela kwa team zitakazo cheza na simba na kuifunga walikuwa wanaahidiwa wakifunga au kutoa droo au umesahau ulisikia simba wanalalamika hta siku moja ila nyinyi kufungwa na ihefu imekuwa nongwa kwasababu mnachofanya ni ujinga team ina waswahili wengi sana.kwani si mlitufungaga 5 mgomo wa wachezaji mbona hali pia ilikuwa shwari...hawa wengine nyie ndo mnawaponza kuwapa hela ili watukamie NAUNGA MKONO MKAKATI WA KUWASHUSHA DARAJA IHEFU
ChuraaaqqHuyo ni mchambuzi.....hana timu ....kama Mimi tu sisi wachambuzi hatuna mahaba na timu yeyote
NB Kuna mwaka pia Makolo walitaka kushuka daraja ....sema tu huruma za yanga zikaiponesha[emoji23][emoji23]
Mkuu umemsahau mashujaa na alikuwa na kidomodomo kuwa eti mechi ya kwanza ya ligi apige na Yanga. Yuko wapi Sasa?Nimetafakari Sana na kuikumbuka Lipuli FC ya Iringa ambayo ilishuka daraja baada ya kuonekana inaikomalia club ya Yanga.
Mashabiki na wanachama wa Yanga walisema tutahakikisha Lipuli inapotea katika mpira wa miguu na kweli ni msimu huohuo ambapo moja ya tukio la kukumbukwa ni mpira uliokitwa ndani ya nyavu za goli refa kuamua ni iwe kona ilihali mpira haukuguswa na mchezaji yeyote wa Yanga zaidi ya golikipa wao kuuokota ndani ya wavu.
Kitu hicho kilihaidiwa juzi na mashabiki wa timu hiyo pale Ihefu ilipowakunguta goli 2.Waliumia Sana na wakati wakihojiwa walisema wataifanyia Ihefu kilekile walichoifanyia Lipuli.
Tangu mechi hiyo mpaka sasa Ihefu imecheza mechi 8 bila kupata ushindi katika michezo hiyo waluyocheza nyumbani na ugenini
Msimu huu wameshuka dimbani Mara 12 na wamepata ushindi Mara 2 sare 4 na vipigo 6.
[emoji989]Wananchi mna tabia mbaya [emoji3][emoji3]View attachment 2833471
Amepulizwa na upepo [emoji23][emoji23]Mkuu umemsahau mashujaa na alikuwa na kidomodomo kuwa eti mechi ya kwanza ya ligi apige na Yanga. Yuko wapi Sasa?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
hili kundi bado bichi kabisa, upe muda nafasi mkuu.Ihefu aliwapga msm uliopita mbona hakushuka daraja,,afu naskia kweny CL mpo kleleni kweny kundi lenu ,baridi ni kali san huko kileleni
Mpaka leo wamepoteana wanenda ng'oa viti taifa wanasema ni yangaMkawafanya Hadi wavurugane[emoji3063]
Yanga wanga waliwasha moto katikati ya pitch kwa ajili ya kuroga kule south africa hadi caf ikaipiga faini Yanga sababu ya uloziHalina ubishi..ushasikia ni timu ya kiswahili hili...wasio na elimu ni wengi...
Na ni wanga wa kutupwa...
Tusubiri kuona anguko lao sasa. HahahMuhimu sana wameyakanyaga😂😂😂😂
AahaaaaaaHii nchi tungekua mbali sana kimpira isingekuwepo yanga....
Hawa jamaa wana fitina za kijinga sana...
Wako kama nyoka, anakung'ata halafu hakuli...
Hata hizi draw za simba, wao ndio wamefunga wachezaji wetu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii nchi tungekua mbali sana kimpira isingekuwepo yanga....
Hawa jamaa wana fitina za kijinga sana...
Wako kama nyoka, anakung'ata halafu hakuli...
Hata hizi draw za simba, wao ndio wamefunga wachezaji wetu.
Huruma gani wakati tuliwapiga hadi mkaanza kugombana wenyewe kwa wenyewe? Tuliwapiga kwa uwezo sio kwa huruma.Hili hawalisemi zaidi ya kukomalia kutuazima mchezaji.
Mdakuzi
Kwakuwa sifahamu hili kwa undani, leo nakuacha uniokote b…Huruma gani wakati tuliwapiga hadi mkaanza kugombana wenyewe kwa wenyewe? Tuliwapiga kwa uwezo sio kwa huruma.
Ndiyo maana Minziro na Sahau Kambi waligombana uwanjani baada ya mechi. Ila sisi tuliwasaidia mchezaji kwa kuwahurumia.
Ova
Lol! B..., hili si tulishalimaliza jamani kwa amani kabisa? Linarudishwaje kwa namna hii?Kwakuwa sifahamu hili kwa undani, leo nakuacha uniokote b…
Wewe dawa yako kukuvalisha jezi ya Yanga basi!
Umeyataka mwenyewe b…Lol! B..., hili si tulishalimaliza jamani kwa amani kabisa? Linarudishwaje kwa namna hii?
Ova