Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Nimetokea kuwa msikilizaji wa Radio ya E-FM hasa kipindi cha michezo kuanzia saa tatu asubuhi.
Hii imetokana na umahiri wa uchambuzi wa soka hasa wa Jemedari Said Kazumari angeongezeka na Amri Kiemba kipindi kingekosa mpinzani kabisa.
Leo ni mara ya pili hivo hawa Oscar na Masoud wanatokea kumsakama Jeff-english katika maoni yake.
Katika maoni yake kwa maoni ya mchezaji Abdi Banda kufuatia mechi ya Mtibwa na Simba msimu huu. Wao wamemkatisha asitoe mifano ya misimu iliyopita ilhali wao wametoa mechi za Simba walizocheza msimu huu huu.
Muacheni Jeff-english atoe alichonacho tumsikie.
Hii imetokana na umahiri wa uchambuzi wa soka hasa wa Jemedari Said Kazumari angeongezeka na Amri Kiemba kipindi kingekosa mpinzani kabisa.
Leo ni mara ya pili hivo hawa Oscar na Masoud wanatokea kumsakama Jeff-english katika maoni yake.
Katika maoni yake kwa maoni ya mchezaji Abdi Banda kufuatia mechi ya Mtibwa na Simba msimu huu. Wao wamemkatisha asitoe mifano ya misimu iliyopita ilhali wao wametoa mechi za Simba walizocheza msimu huu huu.
Muacheni Jeff-english atoe alichonacho tumsikie.