Oscar Oscar ni Mchambuzi asiyejitambua

Oscar Oscar ni Mchambuzi asiyejitambua

Namsikiliza hapa eti kwa sababu Taifa Stars inacheza kitu kinaitwa mini tournament basi haitambuliwi na CAf wala Fifa wakati iko kwenye week ya kalenda ya FIFA.

What a waste HIVI HAYA MAMTU YANAPATAJE HIZI KAZI ZA UCHAMBUZI?

Jesus Christ, God damn it
Hana quality zozote

Hao ni wale beneficiaries wa social
Media
 
Namsikiliza hapa eti kwa sababu Taifa Stars inacheza kitu kinaitwa mini tournament basi haitambuliwi na CAf wala Fifa wakati iko kwenye week ya kalenda ya FIFA.

What a waste HIVI HAYA MAMTU YANAPATAJE HIZI KAZI ZA UCHAMBUZI?

Jesus Christ, God damn it
Mpuuz yule jamaa tokea aanze kwenda marekeni na jamaa ake na kwenda ngorngoro kwenda kuwa suta wamasai akili Hakuna pale

Hata sielewi umfollow vip mtu Kam yule
 
Back
Top Bottom