Siku nilimtembelea jamaa yangu wa kitambo huko pande za temeke. Baada ya stori mbili tatu akanichukua kutembea baa ya jirani. Mimi sikunywa ila jamaa alipiga bia kadhaa. Eneo lilikuwa la kawaida. Kwenye mida ya saa 5 usiku naona watu wananyanyuka na kuelekea nyuma ya baa, jamaa akaniambia twende. Kufika kule MC akatoa tangazo kuwa simu zizimwe watu tukazima ghafla akaingia dada mmoja tipwa tipwa scani akiwa na mtandio na
sidiria bila chup* akaanza kucheza mauno kwa sana anakuja unampakata anakatika juu ya mapaja. Hatari!
Ilipofika muda wa kutunza sasa hapa nilichoka ila wazoefu waliona kawaida tu. Mtandio ukatupwa kule mambo hadharani mtu anaweka buku chini anashika papuchi anaondoka. Kilichonipelekea kuanzisha mada hii ni baadhi ya watunzaji wanachomeka noti ndani kabisa ya kipochi. Dah !
Rika la wengi ni vijana 18-30 yrs.
Sasa hivi nimeamua kila nikishika hela lazima ninawe mikono maana huwezi imetoka wapi.
sidiria bila chup* akaanza kucheza mauno kwa sana anakuja unampakata anakatika juu ya mapaja. Hatari!
Ilipofika muda wa kutunza sasa hapa nilichoka ila wazoefu waliona kawaida tu. Mtandio ukatupwa kule mambo hadharani mtu anaweka buku chini anashika papuchi anaondoka. Kilichonipelekea kuanzisha mada hii ni baadhi ya watunzaji wanachomeka noti ndani kabisa ya kipochi. Dah !
Rika la wengi ni vijana 18-30 yrs.
Sasa hivi nimeamua kila nikishika hela lazima ninawe mikono maana huwezi imetoka wapi.