mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 874
Hivi mnaposema waliwasumbua wazungu ni serious kweli? hilo tu kutaka kungonoka na maadui ni udhaifu kwenye harakati.
C.C Elli
serious mkuu.....mpaka ikabidi aletwe mtalaamu kutoka nje.......baba usifanye mchezo kuoana papuchi live bila chenga....ukumbuke wao walikuwa hawaonekani na wazungu.....