Otea nini kilitokea

[emoji2] [emoji38] [emoji2] [emoji38]
 
ha ha ha ha ha ha.................................................................mchan umekuwa mzuri sana kwangu leo
Stunter huna mpinzani kwenye thread kama hizo mana ni noma ngoja nidurufu nikabandike somewhre
 
kama huamini basi
Sio kila mtelemko ni mbaya, so usiseme haupendi mtelemko,
zipo nyakati zikifika Mtelemko ndio inakuwa njia sahihi ya kukusave
 
Sio kila mtelemko ni mbaya, so usiseme haupendi mtelemko,
zipo nyakati zikifika Mtelemko ndio inakuwa njia sahihi ya kukusave
nilimaanisha mitelemko kama hiyo ulopost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…