STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Ilikuwa Jumamosi asubuhi, kazee kamjini kakaingia
na bonge ya mdada kwenye yard ya magari mapya.
KAZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi....kabinti
kakazunguka na kwa msaada wa mwenye wa
mwenye yard kakapata Noah nyeupe nzuri sana.
MDADA: Mi naitaka hii
KAZEE: Hakuna tatizo kabisaaa. Kwani shilingi ngapi
hii? Kakatoa kitabu cha cheki na kuandika cheki
palepale na kumpa mwenye yard
MUUZAJI: Sasa mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari
utakuja chukua Jumatatu nikihakikisha kuwa una
pesa benki. Nipe namba yako ya simu Mzee
KAZEE: Hilo nilijua. Haya twende zetu sweety Jumatatu
ntakuja kukuchukulia gari lako..................Siku ya
Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.
MUUZAJI: We mzee kavu sana, akaunti yako ilikuwa
haina hata senti tano.
KAZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.
na bonge ya mdada kwenye yard ya magari mapya.
KAZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi....kabinti
kakazunguka na kwa msaada wa mwenye wa
mwenye yard kakapata Noah nyeupe nzuri sana.
MDADA: Mi naitaka hii
KAZEE: Hakuna tatizo kabisaaa. Kwani shilingi ngapi
hii? Kakatoa kitabu cha cheki na kuandika cheki
palepale na kumpa mwenye yard
MUUZAJI: Sasa mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari
utakuja chukua Jumatatu nikihakikisha kuwa una
pesa benki. Nipe namba yako ya simu Mzee
KAZEE: Hilo nilijua. Haya twende zetu sweety Jumatatu
ntakuja kukuchukulia gari lako..................Siku ya
Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.
MUUZAJI: We mzee kavu sana, akaunti yako ilikuwa
haina hata senti tano.
KAZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.