DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Nchi hii uhuru umepitiliza,yaani mtu aliyeshindwa kusimamia sheria za soka uwanjani na kufungiwa maisha leo hii anawakosoa na kuwafundisha waliopewa dhamana hiyo baada ya yeye kushindwa,
Imenikumbusha serikali yangu aliyefeli ndio anakuwa mwalimu akamfundishe mwanafunzi kufaulu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Imenikumbusha serikali yangu aliyefeli ndio anakuwa mwalimu akamfundishe mwanafunzi kufaulu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]