Othuman Kazi ni VAR ya Tanzania

Othuman Kazi ni VAR ya Tanzania

nguruka wa kig0ma

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2020
Posts
2,946
Reaction score
2,932
Nimeona Mara nyingi utata wowote unaotokea viwanjani, Mr kazi ndiye mtu wa mwisho kuhitimisha malumbano.
Kadi nyekundu
Magoli
Na maamuzi mengine
VAR HALISI NI GHALI SANA KIASI TFF WANASHINDWA KUNUNUA?

Ni muda mwingi tumekuwa tukilaumu kuhusu waamuzi kuzipendelea simba na yanga.
Ifike mahali sasa tff inunue japo machine moja ambayo itatusaidia kuepuka kuwalaumu waamu

Hii itawaondoa waamuzi kwenye usimba na uyanga na kuepusha rushwa na upangaji wa watokeo.

Ni wajibu wa serikali kuwafanya wananchi wake wawe na furaha na moja ya furaha ya watanzania ni mpira wa miguu basi hata serikali kuu iingilie kati ununuzi wa hizi machine ili wananchi tupate furaha.



Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Othman Kazi ni mbabaishaji kwakua anapenda ku balance matukio, hataki kuonekana mmbaya.
Kama binadamu unataka kuheshimika katika kazi zako basi fanya kwa unyoofu wako kwa kadri Mungu atakavyo kujaalia Ila ukianza kuogopa na kutaka kufurahisha watu siku zote utakua wa hovyo.
 
VAR HALISI NI GHALI SANA KIASI TFF WANASHINDWA KUNUNUA?

Ifike mahali sasa tff inunue japo machine moja ambayo itatusaidia kuepuka kuwalaumu waamu

VAR sio kile ki televisheni tu kinachoonekana pale uwanjani au zile tv zinazokuwepo chumba cha VAR...

Now with broadcasting and VAR, there can be more than 30 cameras in the stadium with over 100 support personnel. The types of cameras used may include broadcast cameras, slow motion cameras, high definition wide-angle and tight angle cameras, and offside cameras.
 
Othman Kazi ni mbabaishaji kwakua anapenda ku balance matukio, hataki kuonekana mmbaya.
Kama binadamu unataka kuheshimika katika kazi zako basi fanya kwa unyoofu wako kwa kadri Mungu atakavyo kujaalia Ila ukianza kuogopa na kutaka kufurahisha watu siku zote utakua wa hovyo.
Wewe kumbe unamfahamu Huyo bwana Osumani Kazi kwelikweli. Ukimsikiliza anachambua Sheria kama tukio linazihusu Simba/Yanga utamuona Hana hitimisho lililonyooka.
 
Osman kazi ndiye anacamera zaid ya azam or... Yeye si anatumia hzohzo tu or[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
VAR ni gharama
kwa sababu ni system tofauti ya camera inayojitegemea na haiingiliani na broadcaster eg azam tv

Hivyo ni ngumu sana kua nayo
 
VAR sio kile ki televisheni tu kinachoonekana pale uwanjani au zile tv zinazokuwepo chumba cha VAR...

Now with broadcasting and VAR, there can be more than 30 cameras in the stadium with over 100 support personnel. The types of cameras used may include broadcast cameras, slow motion cameras, high definition wide-angle and tight angle cameras, and offside cameras.
Itachukua gharama ya bomberdeer moja ?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Watu wameshindwa kununua MRI waweke kwenye mahospitali sasa VAR ndio watanunua. Absolutely, impossible with this regime.
 
VAR ni gharama
kwa sababu ni system tofauti ya camera inayojitegemea na haiingiliani na broadcaster eg azam tv

Hivyo ni ngumu sana kua nayo
Unaongopa haina gharama kama unavyozani kusema hadi tff washindwe kununua. Kama tumeweza kuchangisha 1B kwa ajiri ya Taifa Stara ninaimani hayo mengine are possible too.
Kwa nn VAR sio kipaumbele?
Sababu kubwa ni kwa kuwa referee wengi wanaimbisha kwa hisani zao binafsi yaaani wengi wanalipwa posho tu. Hawana mshahara na wanategemea kutoka timu zenyewe kuwalipa hao marefa. Mkifunga VAR nan atamudu gharama zake za uendeshaji.
NB kinunua VAR sio kazi, kazi ni kuzitumia na gharama za uendeshaji.
Marefa pia hawatoshi bongo na var atasimamia nan kama marefa ndio hao hao ndio wasimamizi na waendeshaji wa camera hizo
 
Unaposema wananchi mpate furaha, unamaanisha utopolo au wanachi kama wananchi ??
Kuna wananchi wa JaNgWani,ambao taifa lao halijapata Uhuru kutoka kwenye utumwa wa kifikra,na pia Kuna Wananchi wa jamuhuri ya muungano Tz,ambao UtOPoLo wapo Tz[emoji1241][emoji1241][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Othman ni lijizii na jangiliii lililo furushwa na FIFA!
 
Back
Top Bottom