1.
There is no need for guys to own our foreign missions. It is almost scandalous now. Our diplomatists have made foreign missions their homes. How do you stay at a place for 16 years? 'Eti ambassadors'? It is next to impossible. But it happens in Bongo.
So far kuna balozi mmoja tu anayeitwa Mtango, ambaye amekuwa huko kwa muda mrefu, anyeweza kujibu hilo swali ni rais peke yake, maana ni presidential political appointment, foreign hahihusiki kabisaa, unless kama Adam ambaye ninamuheshimu ana kwa kumkoma nyani sku zote, kuna something anataka kusema lakini anashindwa, kwa sababu balozi kuwepo muda mrefu mahlai pamoja nia la rais sio la wananchi walioko foreign!
2.
Okay. I know diplomatic missions have been used as a way to dump embarrassing relatives, friends and chicks; but it should be for four years only. Why should they be there for decades?
Because once there, the 'diplomats' also start building empires. The husband will employ his wife. Then he will also employ his children and 'shemejis'. I have seen it happen.
Ninafahamu only one case na ilikuwa wakati wa awamu ya kwanza kule DC, balozi wetu kule Bomani, ndiye aliyeajiri watoto na ndugu zake pale, je wapo mpaka leo hapana walishaondolewa wote, kwa hiyo unless kuna dataz au concrete evidence kuhusu balozi aliyewahi kuajiri mke wak na shemeji zake, basi asemwe specifically ni nani apewe mawe, lakini kuwa-generalize mabalozi wote kuwa ni tabia yao sio kuwatendea haki mabalozi wetu ambao wengi ni wachapa kazi hasa na waliousotea ubalozi wao!
3.
It becomes so nauseating that you tend to avoid Tanzanian embassies once you get there. First, most embassy employees think you want to ask for money. Outrageous! Then the relatives of the 'ambassador' look at you with an uncalled for hauteur. You decide that this is bullshit and leave. As I said embassies are places for friends, embarrassing buddies, girlfriends and other unqualified guys. I think we should be told if the guys are the permanent rulers of these areas.
Mkuu Adam hapa pia anakuwa sio mkweli au haelewi kinachoendelea kwenye balozi zetu, kwanza ni tabia ya wananchi wengi kwenda ubalozini na matatizo yasiyotatulika na ofisi, binafsi nimeishi nje na nimejionea hili kwa sababu nimewasaidia wananchi wengi sana waliokwama wakaenda ubalozini kuomba msaaada ambao kisheria haupo, naomba kurudia tena kwenye hili kuwa wabongo wengi tuna tabia za kwenda ubalozini kuomba misaaada ambayo kisheria balozi zetu haziwezi kushiriki, ni mara nyingi nimewasaidia wabongo wengi sana mahala pa kulala kwa sababu ubalozi hauwezi kukupa mahali pa kulala,
Pia tena ni kweli kuwa wabongo tuna tabia ya kwenda ubalozini kuomba hela kwa sababu mbali mbali, ukweli ni kwamba ubalozini hakuna fungu la hela ambalo limetolewa na serikali kwa ajili ya wananchi watakao tokea wakizihitaji, nimemuona mpaka Mtikila mwenyewe one time amekwama hana nauli ya kurudi bongo anataka ubalozi umkopehse na ndipo alipoanza kuwa agent wa ccm maana walimlipia hiyo nauli, na kuna mama mmoja aliyempa hela za matumizi akaahidi kurudisha mpaka leo hajarudisha sasa unategemea next time huyu mama akumuona mbongo ana shida ya hela afanye nini? sasa swali ni je alikwendaje huko in the first place? Ni tabia yetu saa wabongo kwenda ubalozini kuomba hela, I have seeen it na mpaka leo bado hii tabia inaendelea, ni suala la kuwa wakweli tu au kuema ukweli iwapo hatujui, lakini binafsi nimewasaidia wananchi wengi sana wenye hizi shida na wasiokuwa na shukrani!
Balozi zetu siku za nyuma zilikuwa zinaajiri foreigners tu, na sio wabongo, hasa wafilipino, nilifikiri tutawapa heshima kina Balozi Daraja, Mahiga, Kibelloh na wengineo kwa kujaribu kuiondoa tabia hii, sasa badala yake eti wameajiri ndugu zao? Adam kwenye hii article anakosa ushahidi wa kuthibitisha haya, mabalzoi wengi wa siku hizi wanajaribu kuiondoa hii tabia na kuna mabalozi yetu mengi ya kuonyesha mfano, DC wakati fulani ilikuwa wafilipino watupu, Belgium ilikuwa wahindi na warundi, we can go on and on, ninawapongeza mabalozi ambao wameamua kuwaondoa wa-Filipino kwenye balozi zetu na kuajiri wabongo,
Foreign ni wizara ninayoiheshimu sana kwa kuwa na wasomi wakubwa sana katika taifa letu, wengi wao wanaheshimika sana kwenye mataifa kwa kuwa na vichwa, kama kawaida kweny kila sekta kuna wazim na wasiojiweza, lakini sijawahi kuona wananchi wenye vichwa vikali kma wananchi wengi wa foreign, wengi wao wanatoka kenye very humble families na wanashukur sana Mungu kuweza kupata nafsi ya kufanya kazi foreign, somebody has to be a diplomat wananchi wote hatuwezi kuwa, somebody has to be a president, priviledges zinafutana na kuwa na hizo nafasi zisitufanye tukwachukia waliobahatika kuwa nazo, which seeems to the case na hii article ya Adam, ambaye siku zote nina heshima naye sana isipokuwa sielewi kilichomtokea kwenye hili, ila nitamtafuta nimuulize kulikoni kuwatukana wananchi wengi wasiouwa na makosa kabisa huko foreign na balozi zetu?
4.
I think that the government is ruled by a king anyway. Too much power on the presidency and we will have to deliberate about it.
Now this ni another ishu kabisaa, ambayo haihusiani kabisa na foreign, hii ni ishu by itself inayohitaji kufunguliwa topic yake.
Ahsante Wakuu!