Out of my league!

Out of my league!

Kama humuhitaji mtu au kitu kutoka kwake vipi mtu asimwambie hivyo hivyo badala ya kumkejeli au kumwonyesha dharau?
Binafsi kama nna mtu ntajibu siko available na mtu asipoelewa nampotezea!
Kama sihitaji au sitaki ntamjibu hivyo kwamba kwa wakati huu niko bize na mambo yangu kwahiyo sihitaji kua na mtu au sitaki! Atakavyoichukulia ni juu yake.....binafsi nakua nimekua muungwana na hiyo inaniacha na amani!!!

Kuhusu kutumika kama changamoto.....changamoto gani ya kumfanya mtu ajisikie yeye sio?? Well I guess wengine wanaweza kusukumwa na hayo maneno kufanya zaidi ila je kama huyo mtu hayuko kwenye nafasi ya kubadilisha hicho unachomdharau nacho....kwa mfano sura , huoni kwamba ataishia kupewa msongo wa mawazo tu?

The first bold is
Binadamu hatukulii katika mazingira sawa, maisha sawa au hali sawa hivyo sio mara zote mtu anaweza kukujibu KAVUKAVU badala yake anaweza akachagua namna ya kukujibu.

Second and third bold
Hata ktk maandiko tunaaswa kuyashinda majaribu.
Fahamu ya kwamba majaribu hayana sura ambapo unaweza ukayagundua kwa kuangalia. Mtu kukufanya uwe na MSONGO WA MAWAZO au kukufanya UJISIKIE SIVYO ndio majaribu yenyewe.
Katika maisha usitegemee kuishi bila kukosa mtu/watu wa kukupotezea malengo yako. Na uwezo wako wa kupambana na watu hao ndio tunagundua uwezo wako wa kupambana na matatizo.
Na unaweza kujaribiwa kwa makusudi au ukafanyiwa kwa nia ya kweli.
 
Coz i have seen BROKEN HEART answer from you to Lizzy thread's for a second time
So i want to compare you and Lizzy

mimi ni she...!

haya compare bas

I see you as a VERY STRONG WOMAN in your mind :clap2:

yes i am!you wanna try me?

No need to try you anymore, as i have been following you in different posts here . . . . :coffee:

..too personal!
mind u r own buznec

back to topic please!

:coffee::coffee::coffee::coffee::coffee:
 
Asemayo hayo either amekosa busara.., au he/she does not mean anachosema ni hasira na jazba ya kutaka kumuumiza mwenzake..,

By the way hao out of my league, sometimes wanasema hayo kumkatisha mtu tamaa asiwafate ila with persistance you all become in the same league.

Some people love the Chasing na ukiwaambia hivyo unawapa challenge na ndio wanajenga kambi kabisa na hawakomi mpaka wamekupata
 
Nimejikuta najiuliza kitu ikabidi niwaulize na nyie dadaz n kakaz!!!

Hivi mtu anapomwambia mwenzake 'we huendani na mimi....mimi huniwezi wewe...mi sio saizi yako' na mengine kama hayo huwa wanatumia vigezo gani kuona kwamba huyo mtu mwingine hana UBORA sawa na wao? Ni pesa....sura au tabia?

Vyoyote vile je ni haki kumwambia mtu mwingine maneno ya aina hiyo?I mean kumdharau mwenzako...kumpunguzia kujiamini au hata kumfanya ajione duni kunakusaidia nini?

Surely wapo humu waliowahi kutenda na kutendewa hivyo..hua inatokea sana wakati wa kutongozana...hata wengine mtu akimuuliza direction tu ishakua tabu!

Nywz my point is kama unamchukia mtu au unaona mtu anakuboa why not just walk away bila kumfanya yule mtu aanze kujiskia vibaya!?

Kua mstaarabu wafanyie wenzako vile ambavyo ungependa ufanyiwe....usionyeshe dharau iwapo wewe unataka kuheshimiwa!!!

My qoute of the day: Ubora wa mtu sio kitu ni utu!!

By Lizzy

Weekend njema.....y'all be good!!!


Labda majambozi, Pesa, mtu alivyo nk. Lakini kwa ujumlakama hujisikii ama huwezi kuwa na mtu basi mjibu tuu kiustaarabu. Umenikuna sana, maana umemwaga point ambazo watu wengi yalishawakuta. Utasikia watu wengine bwana, unanionaje kwanza unaoni mm size yako? una nini wewe mpaka unanifuatafuata!! kazi kweli kweli. Just be simple kaka ama dada samahani hicho unachoniambia nimekusikia uzuri wa kutosha lakini mm siko tayari kabisa either nina mwenzio. Kwa hiyo tuheshimiane tuu. I guess jamaa ama mdada atakuheshimu kwa ustaarabu wako kuliko kashfa, Nani anayeyajua ya kesho????
 
Thanks gusy ila naona mmebase zaidi kwenye reaction za wanaotongozwa na watongozaji....na inaonekana though sio sahihi ila tumejifunza kukubali kwamba hiyo ndio hali halisi na kuna watu hiyo ni asili yao so we are kinda used to it!!!
Binafsi nilikua naongelea in general....mimi niliwahi kumuona mkaka anamwambia mdada ''anti samahani'' kabla yule dada hata hajajua yule kaka anataka nini akaanza kumporomoshe maneno hayo....''we vipi unataka kuongea na mimi kitu gani....unaona tunafanana wewe''.Imagine kama huyo dada nguo yako ilikua imekaa vibaya huyo kaka akataka kumrekebisha anakua amemkomoa nani?

Lizzy kwa kweli maneno hayo ya dharau huwa hayanisumbui kwa kuwa majibu yake mara nyingi yanapatikana-shida ni pale mdada unapomsalimu anakuangalia kuanzia chini mpaka juu na huku mdomo kauweka kiaina fulani (nadhani Unanipata) macho na kichwa vimewekwa kwenye angle fulani halafu anaondoka au anaendelea na shughuli zake! Hapo mimi ndio huwa natamani nimrukie mtu na kumrarua lakini busara ndio huwa inanituliza
 
Lizzy kwa kweli maneno hayo ya dharau huwa hayanisumbui kwa kuwa majibu yake mara nyingi yanapatikana-shida ni pale mdada unapomsalimu anakuangalia kuanzia chini mpaka juu na huku mdomo kauweka kiaina fulani (nadhani Unanipata) macho na kichwa vimewekwa kwenye angle fulani halafu anaondoka au anaendelea na shughuli zake!
Hehe kweli mna kazi kaka zetu!Hii inaendana sana na hayo majibu!Asipoyatoa kwa kinywa anakuonyesha dharau kwa lugha ya mwili!
 
Lizzy kwa kweli maneno hayo ya dharau huwa hayanisumbui kwa kuwa majibu yake mara nyingi yanapatikana-shida ni pale mdada unapomsalimu anakuangalia kuanzia chini mpaka juu na huku mdomo kauweka kiaina fulani (nadhani Unanipata) macho na kichwa vimewekwa kwenye angle fulani halafu anaondoka au anaendelea na shughuli zake! Hapo mimi ndio huwa natamani nimrukie mtu na kumrarua lakini busara ndio huwa inanituliza

l.o.l....jamani eeeh you are out of her league simply because ya got nothing to offer...basi!...
kunta umeniacha hoi sana na hizo sentensi zilizokozwa...l.o.l
 
Hashy we mwenyewe unajua ukikutana na mjivuni inavyokuwa!
 
Maneno kama hayo usichukulie kabisa, take your step ukiona bla bla imekuwa nyingi.
Wapo wengi na sio kila siku utafanikia na business zako - mara faida mara hasara.
 
Huwa tunaangaliwa kuanzia juu hadi chini kama bidhaa za Kariakoo
 
Mi nafikiri inategemea na msichana kwa wakati huo anakuwa amepitia mambo gani. Utakuta mtu jana yake katoka kumfumania boyfriend wake,au wiki iliyopita mtu aliyedhani atakuwa mumewe kaoa na yeye alikuwa hana taarifa yoyote na walikuwa wanaendelea na uhusiano kama kawaida. halafu ndio kakaa mahala anapita mwanaume anamtongoza, weweeeeeeee moto lazima uwake. Ila unamkuta msichana yuko katika moods nzuri anacheka na wenzake yupo happy halafu unamtongoza lazima tu atakujibu vizuri
Kwa hiyo ushauri wangu wanaume wawe wanamwangalia mtu kwanza kabla hawajamtokea nahisi sign zote utaziona usoni
 
Mi nafikiri inategemea na msichana kwa wakati huo anakuwa amepitia mambo gani. Utakuta mtu jana yake katoka kumfumania boyfriend wake,au wiki iliyopita mtu aliyedhani atakuwa mumewe kaoa na yeye alikuwa hana taarifa yoyote na walikuwa wanaendelea na uhusiano kama kawaida. halafu ndio kakaa mahala anapita mwanaume anamtongoza, weweeeeeeee moto lazima uwake. Ila unamkuta msichana yuko katika moods nzuri anacheka na wenzake yupo happy halafu unamtongoza lazima tu atakujibu vizuri
Kwa hiyo ushauri wangu wanaume wawe wanamwangalia mtu kwanza kabla hawajamtokea nahisi sign zote utaziona usoni

Kweli Gaga.....
 
Back
Top Bottom