Nandy na Lavalava overrated kivipi?
Samatta overratedDiamond - underrated [emoji35][emoji35]
Jux - Underrated
Nandy - Underrated
Aslay - underrated[emoji35][emoji35]
SGR - Overrated[emoji847][emoji847][emoji847]
Stigler George - Overrated [emoji35][emoji35][emoji847][emoji847]
Mwendo kasi - overrated
Mfugale - Overrated
Awamu ya Tano - Overrated
Membe - Overrated
Dar es salaam - overrated
Simba na yanga - overrated
Msuva - underrated
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si wanafanya mziki mzuri.Kinachoangaliwa ni kufanya mziki mzuri si kuimba SanaToo much promo wakati kipaji cha kuimba ni wastani. Lavalava ni mzuri kwenye uandishi ila sauti yake ya kuimba hapana. Nandy sauti yake ya kuimba ni wastani haishtui kiviiile. Ni maoni yangu tu lakini.
Kivip?
Teh dogo naona itakuwa haujui maana ya mtu kuwa overrated na underrated, we si ndiyo uko kule kwenye ule uzi wa Zuchu unamtetea Vee kuwa tusimfananishe na wasanii wengine sasa huku mbona ulisema yuko overrated?
Kigeu geu, daktari, kigeugeu, kondakta kigeugeuTeh dogo naona itakuwa haujui maana ya mtu kuwa overrated na underrated, we si ndiyo uko kule kwenye ule uzi wa Zuchu unamtetea Vee kuwa tusimfananishe na wasanii wengine sasa huku mbona ulisema yuko overrated?
Jamani loooh[emoji848]Amberutty underated, kwa Mambo anayofanya alipagawa awe regarded as Malaya mkubwa wa kimataifa Ila tunamchukulia Malaya poa wa kawaida
Dada...
Joti doooooh aise basi bongo hamna mshekeshaji!!joti ni fundi aiseJoti anatumia nguvu nyingi kuchekesha - overrated
Idriss sultan - overrated.
Wema sepetu - overrated
Jpm - overrated
Maua sama - underrated
Mkuu mimo naona mchekeshaji anatakiwa achekeshe bila kutumia nguvu.. sasa naona lately joti anatumia nguvu sana kutaka kuchekesha..Joti doooooh aise basi bongo hamna mshekeshaji!!joti ni fundi aise
Sent using Jamii Forums mobile app
-[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asikanyage tena kkoouna nguo za kutosha??