Owner wa Mzalendo pub afariki

Tusker Bariiiidi

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2007
Posts
5,551
Reaction score
2,153
Nimepatwa na mshituko mkubwa...,baada ya kupokea habari za msiba mzito katika sekta ya burudani,mmiliki wa Mzalendo Pub Millenium Towers Ndugu yetu Costa Mowo hatunaye tena..., Costa amefariki ghafla leo katika hospital ya KCMC Moshi kwa kuugua ghafla kwa shinikizo la damu "low pressure" alikuwa mtu wa watu
 
TB,
Poleni sana kwa msiba. Mola ampumzishe pema peponi marehemu.
 
Nimezipokea habari za kifo cha mshikaji Costa ambaye ni owner wa Mzalendo Pub pale Millenium tower kwa huzuni kubwa. Yaani hata sina la kusema isipokuwa kumshukuru Mungu kwani ndiye mjuzi wa yote..
Mungu amlaze mahala pema peponi - Amin..
 
Sisi sote kaka... Jamaa alikuwa mtu mwema sana Mzalendo Pub ilileta mapinduzi makubwa katika burudani!!! Pub yake ilikuwa classic...
 
Nini kimetokea? Ni yule mshikaji mrefu mwembamba?
 
pole kwa kufiwa shekhe
Mungu ashukuriwe kwa kila jambo
 
Nawapa Pole Wanafamilia na Marafiki.
R.I.P.

Steve Dii
 
Nakumbuka mara ya mwisho naongea na marehemu alikuwa amejiandaa kugombea Ubunge au Udiwani somewhere mkoani Singida. Na kama mjuavyo Mzalendo Pub ndio kwanza ime pick na kuwa lounge ya vijana wa mjini, mara habari hii...
Duh, ama kweli binadamu sii kitu..
 
R.I.P Costa .

Ndio huyu alikua ana onya marafiki zake wa karibu anao wajali baada ya kutembea na wadada wazuri wa mjini ,kuwa yeye kaisha pita kwahiyo wawakalie mbali hao wadada ?
 
Mungu awatie ujasiri wafiwa kipindi hiki kigumu cha msiba.

R.I.P
 
Nawapa pole wafiwa katika kipindi hiki kigumu Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi amina.
 
R.I.P Mzalendo Pub Owner....This is tragedy for all funs wa ku party mujini....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…