Owner wa Mzalendo pub afariki

R.I.P Costa,
Mzalendo pub ilikuwa kijiwe cha vijana wengi mjini, mazungumzo nyeti utasikia tukutane mzalendo pub. Nafikira hata hapa kuna watu walikuwa wanapeana miadi ya kukutana mzalendo pub.
 
Kuna mwenye picha atutundikie? wengine tunamsikia tu.
 
r.i.p ndugu yetu mupendwa!
bwana ametoa,na bwana ametwaaaa
jina la bwana libarikiwe
 
Huu msiba unawahusu kwa karibu sana Teamo, Roya Roy, Chrispine, Acid, Kaizer & Others.... Cheers for him

May his soul Rest in Peace
 

RIP Costa.

TuskerBariiidi - pole sana na wanafamilia wote - huu msiba nafahamu utakugusa sana maana baada ya kutoka mitaa yetu ya Lufungila na kuhamia mitaa hiyo - you will truly miss Costa.
 
Mungu ailaze pema roho ya marehemu Amen
 
Rest in Peace my friend Costa, there will never be the same mzalendo without you,
 
RIP Costa.

TuskerBariiidi - pole sana na wanafamilia wote - huu msiba nafahamu utakugusa sana maana baada ya kutoka mitaa yetu ya Lufungila na kuhamia mitaa hiyo - you will truly miss Costa.

kwakweli Baba Enock...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…