Oya masela, P. Funk yulee amerudi!

Oya masela, P. Funk yulee amerudi!

Ludigo hakuwa vizuri kwenye instruments(hasa keyboard)
MJ yeye hasa alitengeneza kazi nyingi miaka ya 2000 kurudi chini(albums za Mr2, LWP, BDP,Kwanza Unit) , kipindi ambacho tech haikuwa kubwa kivile, beat imejaa kick na snare, hakuna basslines, hata kwa Majani ni ivyo ivyo, 'vinanda/magitaa' hakuna

miaka ya 2000 kuja juu, uingizo wa mashine mpya mpya za Studio, MJ akawa anawaachia kazi kina Marlon, Ludigo, Marijani, etc
yeye anafanya kazi baadhi baadhi siyo album , baadhi ya producers(Mahundi) wakawa wanafanya mastering kwake (MJ ndiyo ana master demos)

cheki hizi hapa kazi za Master Joachim (beat ikiwa na kinanda/keyboard ndani)

View attachment 2989453
View attachment 2989452
Hizi biti zote unyama😂 haswa hio nikilala naota. Ina bassline moja matata sana. Huwezi isikia kama una sound ya kirataa 😂
 
Nenda kwenye jukwaa la kilimo au mapishi,hujui mziki wala humjui Legendary Pfunk.
Mnatetea nini, miaka yote tangu bongo flavour ianze mshua huyu ndiye alikuwa producer mchovu kuliko wote wa enzi hizo. Beat zake nyingi ni mbovu
 
Pfunk ana beat nzuri zenye mastering nzuri ila sidhani kama ataweza kutoboa kwa kizazi cha sasa. Kuna interview moja nakumbuka alisema we fanya beat kokote huko kwa akina s2kizzy ila mletee akufanyie mastering maana yeey anaamini hakuna producer TZ anafanya mastering kuliko yeye.
Kuna jamaa alikuwa anaitwa chizanbrain alikuwa poa sema uraibu
 
Back
Top Bottom