Oyaa Tax - usafiri wa bei nafuu na haraka Kisiwani Zanzibar

Oyaa Tax - usafiri wa bei nafuu na haraka Kisiwani Zanzibar

lucky lefty

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2017
Posts
491
Reaction score
454
Kwa mara ya kwanza nchini Zanzibar, Kampuni ya OYAA TECHNOLOGIES LIMITED Imetuletea wakazi wa Zanzibar huduma ya Taxi al maarufu kama OYAA TAXI.
Mfumo huu ni kama mifumo mingine iliyozoeleka huko Bara na duniani kwingine kama Taxify,Ping na Uber.

Ni huduma ya nafuu na haraka hasa ukizingatia nchini Zanzibar foleni sio tatizo kama sehemu zengine.

Huduma hii ilianzishwa mwaka jana 2018 lakini ikiwa kwenye research zaidi, Mwaka huu 2019 ikawa launched official pale Hotel Verde.

Mteja anatakiwa kudownload app ya Oyaa kwenye Google Play kwa watumiaji wa Android Phones na kwenye App Store kwa iPhone users. Mteja atajisajiri kama kawaida ndani ya dakika mbili anaweza kuita Taxi ikaja hadi mlangoni kwakwe.

Unaweza kutembelea page zao huko Instagram @OYAATAXI na Facebook @OyaaTaxiZanzibar

Au website yao www.oyaa.africa

oya.jpg
 
Kama Zanziba sio Nchi iliwezaje kuungana na tanganyika?
Zanziba ni nchi na itabakia hivyo hivyo milele
Zanzibar siyo inchi ni Tanzania visiwani ilikuwa inchi enzi za karume sasa siyo inchi tena ni sehemu ya muungano
 
Nimekusamehe bure kwa sababu haujui hata kuandika neno "nchi"..... "inchi" ndiyo nini? Kipimo cha mkoloni?
Chief Asante kwa kukosoa ila sioni kosa lolote kwasababu Zanzibar ni Tanzania visiwani siyo nchi ni sehemu ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania
 
Zanzibar siyo inchi ni Tanzania visiwani ilikuwa inchi enzi za karume sasa siyo inchi tena ni sehemu ya muungano
Nenda kasome Kiswahili kwanza, inchi ni Kipimo cha urefu, usituharibie kiswahili
 
OYAA jikiteni kwenye hoja, uzi ni tangazo la taxi.... OYAA TAXI.
 
Back
Top Bottom