Je, ulishawahi kuwatishia washkaji kuwa utawaandika hapa JF?!
Mi kuna jamaa very close, ambao tumejuana hapa JF and some outside JF enclosures... basi every now and then tukiwa tunapiga story, pale tunapoanza kubishana mambo fulani hivi, though in a friendly way, kitu cha kwanza nikitaka kuwakata stimu basi gia huwa - " ooya, unajifanya mbishi siyo? Nitakutungia sredi JF mimi"... washkaji wakisikia hilo inabidi wanywee njwiii...
Je, nawe unatumia JF kama kiboko au karata turufu ya kunyamazisha washikaji??!! :biggrin1:
Je, ulishawahi kuwatishia washkaji kuwa utawaandika hapa JF?!
Mi kuna jamaa very close, ambao tumejuana hapa JF and some outside JF enclosures... basi every now and then tukiwa tunapiga story, pale tunapoanza kubishana mambo fulani hivi, though in a friendly way, kitu cha kwanza nikitaka kuwakata stimu basi gia huwa - " ooya, unajifanya mbishi siyo? Nitakutungia sredi JF mimi"... washkaji wakisikia hilo inabidi wanywee njwiii...
Je, nawe unatumia JF kama kiboko au karata turufu ya kunyamazisha washikaji??!! :biggrin1:
Wee Asha wee, ni mangapi umeandika indirectly hapa yanayohusu washkaji??! ... !! just be candid on this...
Naona ndo hivo... kwani wewe Lizzy hujawahi kabisa kutishia hii kitu?? lol
Dah..Mkuu mimi hata mchuchu wangu hajui kama nina ID humu jf achilia mbali ya washkaji shortly hua sioni kama inamsaada wowote kwao kwa kufahamu kua mimi nami nimejiunga na JF labda tu nione m2 anamtazamo chanya hua natamani kuona akiutumia uelewa wake kwa share na wenzake kile anacho kielewa na hua sina sababu ya kutaka kujua anatumia jina gani kikubwa tu awe amejiunga.Kifupi kwangu sifikirii kuitumia JF kama siraha kwangu.Ni mtazamo wangu tu.
Inabidi umfahamishe mshirika kwanza... since it's not meant to be a vicious attack in actual sense.
Naisubiria Lizzy... π
sasa hapo unaniogopesha :tape2:
Je, ulishawahi kuwatishia washkaji kuwa utawaandika hapa JF?!
Mi kuna jamaa very close, ambao tumejuana hapa JF and some outside JF enclosures... basi every now and then tukiwa tunapiga story, pale tunapoanza kubishana mambo fulani hivi, though in a friendly way, kitu cha kwanza nikitaka kuwakata stimu basi gia huwa - " ooya, unajifanya mbishi siyo? Nitakutungia sredi JF mimi"... washkaji wakisikia hilo inabidi wanywee njwiii...
Je, nawe unatumia JF kama kiboko au karata turufu ya kunyamazisha washikaji??!! :biggrin1: