Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,273
Je, ulishawahi kuwatishia washkaji kuwa utawaandika hapa JF?!
Mi kuna jamaa very close, ambao tumejuana hapa JF and some outside JF enclosures... basi every now and then tukiwa tunapiga story, pale tunapoanza kubishana mambo fulani hivi, though in a friendly way, kitu cha kwanza nikitaka kuwakata stimu basi gia huwa - " ooya, unajifanya mbishi siyo? Nitakutungia sredi JF mimi"... washkaji wakisikia hilo inabidi wanywee njwiii...
Je, nawe unatumia JF kama kiboko au karata turufu ya kunyamazisha washikaji??!! :biggrin1:
Mi kuna jamaa very close, ambao tumejuana hapa JF and some outside JF enclosures... basi every now and then tukiwa tunapiga story, pale tunapoanza kubishana mambo fulani hivi, though in a friendly way, kitu cha kwanza nikitaka kuwakata stimu basi gia huwa - " ooya, unajifanya mbishi siyo? Nitakutungia sredi JF mimi"... washkaji wakisikia hilo inabidi wanywee njwiii...
Je, nawe unatumia JF kama kiboko au karata turufu ya kunyamazisha washikaji??!! :biggrin1: