"Oyaa, unabisha, nitakutungia sredi JF mimi.." Je, ulishawahi?!

watakuwa mafisadi tu hao marafiki zako,mie sioni why ninywee mtu akinitishia hivyo......
 
watakuwa mafisadi tu hao marafiki zako,mie sioni why ninywee mtu akinitishia hivyo......

duuh, hili bonge la point mkuu, lakini vilevile ni dongo... tena lile linalokaribia kukauka kwa jua!! lol
 


Nimekusoma mkuu Steve Dii
 
hahaha!huwa ninaitumia sana hii na wale ninaowaambia nao huwa wananitishia the same,,,

he he he he wifi mi uliniweza,si umeona zile post za kimapenzi nimeacha?l.o.l:A S-rose:
Steve Dii....umenipa namna ya kuwatishia watu.....!!!
 
he he he he wifi mi uliniweza,si umeona zile post za kimapenzi nimeacha?l.o.l:A S-rose:
Steve Dii....umenipa namna ya kuwatishia watu.....!!!

hahaha my wiii bana nimekumiss ujue?ukweli hii sred imenichekesha nikajua kumbe huwa tuko wengi.... :hug:
 
Hahahahahah lol! nimecheka sana Steve...sijawahi kufikiria kitu kama hicho wala kutishiwa hivyo ila JF kiboko watu mpaka wananywea wanapotishiwa kuanzishiwa sredi.
Lazima unywee mkuu
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…