Tetesi: P Diddy Ameaga Mashindano, Ameleft Group

Tetesi: P Diddy Ameaga Mashindano, Ameleft Group

Countrywide

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
20,694
Reaction score
32,527
Tayari sasa p Diddy ameshayaaga mashindano. Huwa nawaonea huruma sana wale watu ambao hupenda kujiita majina ya watu ambao ni celebrities bila kujua huyo mtu ni wa aina gani.

Kuna kipindi wale watu waliokua wanajiona wajanja sana miaka ile ya 2008-2010 walikuwa Wanapenda kujiita Scofield. Kumbe mwamba nae alishaleft group kitambo sana, ile ilikua movie tu.

Kuna siku nilikua sehemu fulani hivi nikakutana na kadada flani hivi kakawa kananiambia kanampenda sana yule msanii mdada mfupi mwanamuziki wa kutoka A Town, anasema yule ni role model wake, mara sijui mpole, mara anapenda life style yake bila kujua kuwa huyu mwanadada nae ameleft kwenye group lao kitambo sana na amekua lesbian kwa miaka mingi mno.

Muwe waangalifu mnapochagua role models, iwe wa kiume au wa kike. Poleni sana mliojiita diddy

==
Kujua ukweli wa taarifa hii soma NADHARIA - P Diddy anashiriki mapenzi ya jinsia moja
 
Wako wengi Sana America..wanasukumana mbolea
Ukiambiwa uwezi
Amini mengine ni matransgender
IMG_20230427_171301.jpg
752238b01fceb9b8394ca02b43bbbe84.jpg
 
Tayari sasa p Diddy ameshayaaga mashindano. Huwa nawaonea huruma sana wale watu ambao hupenda kujiita majina ya watu ambao ni celebrities bila kujua huyo mtu ni wa aina gani.

Kuna kipindi wale watu waliokua wanajiona wajanja sana miaka ile ya 2008-2010 walikuwa Wanapenda kujiita Scofield. Kumbe mwamba nae alishaleft group kitambo sana, ile ilikua movie tu.

Kuna siku nilikua sehemu fulani hivi nikakutana na kadada flani hivi kakawa kananiambia kanampenda sana yule msanii mdada mfupi mwanamuziki wa kutoka A Town, anasema yule ni role model wake, mara sijui mpole, mara anapenda life style yake bila kujua kuwa huyu mwanadada nae ameleft kwenye group lao kitambo sana na amekua lesbian kwa miaka mingi mno.

Muwe waangalifu mnapochagua role models, iwe wa kiume au wa kike. Poleni sana mliojiita diddy
Acha upuuzi, unafuatilia drama na scandal tu, wapi wamejitangaza kwamba wao ni mashoga?

Hivi leo nikiamka nikafungua uzi nikasema Countrywide ni shoga na anapakuliwa je hio itakua kweli wewe ni shoga?

Usiwafananishe na scoffield ambae yeye mwenyewe alitoka hadharan akajitangaza.

Huwa huna akili fala wewe
 
Mnapenda habari za upinde na mnawaza ushoga tu muda wote itakua nyie ndo mashoga wenyewe.
Usishangae ukaambiwa anaepinga ushoga nae shoga. Mm nimechoka mnoo kusikiliza kelele hizi. Juzi nimepanda daladala Tegeta-Kariakoo kapanda mtumishi wa mungu akatuhubiria. Anaesema "eti mwanaume nae anataaaakaaa mwanaume unautakaaaaaa!!! Mwanaume? Kweli unautakaaaa!" Kakomba sadaka kasepa zake. It's too overated! Waaafrika tukiganda sehem hatutoki mpaka waje 'remote contoler' kutuambia tusogee mbele kufikiria mambo mengine
 
Back
Top Bottom