Tetesi: P Diddy Ameaga Mashindano, Ameleft Group

Kuna dem juzi kanipa orodha ya wasanii wa bongo walio left group...nimebaki mdomo wazi najiuliza sijui kwel au uongo
 
Eti nililia sana .ujinga tu
 
Una umri we dogo[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu hataki uanaume wewe unalia badala yake?
Jililie wewe na uzao wako yeye mwendo kaumaliza kiumeni
 
Zamani nilijua mashoga ni wale baby face sura za kike na miili miteketeke kumbe siku hizi hata wenye misuli kama kina P didy kalio gumu kono gumu...duuuh ni bora kutoyasoma tuu haya mambo.
Sio kila unacho soma mitandaoni unakiamini kama kilivyo
 
Wewe choko inapaswa tuanze kukufatilia vizuri unajishughulisha na nini, haiwezekani kila siku usiku mnene upo macho.

Tutafatilia kwa ukaribu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badala ufuatilie stahiki zako huko ustawi wa jamii ili upate fidia kwa matunzo ya mtoto sio wako, unataka kunifuatilia mie utawezaa??

Files za kibaha zinakushinda, kutwaa kumuwaza mama zurii, na badoo utakufa kwa pressure mwaka huu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeee
 
Wewe sio riziki, shubamit
 
Mtu kama wewe, Mtanzania wa kawaida una muda wa kufuatilia maisha binafsi ya mtu kama Diddy? Kwa manufaa ya nani? Kwanza alishaacha zamani sana kuitwa “P. Diddy”. Mtu kama Diddy anavyoishi maisha yake wewe Mwanaume mzima unawashwawashwa huko Kisarawe? Seriously? Acheni tabia za kisenge nyie.
 
Umeamua kumuwashia tanuri
 
Kumbe huyu jamaa ndio yule mchizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…