P Diddy hana wateja wake Tanzania?

P Diddy hana wateja wake Tanzania?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mwanamuziki wa Marekani, P Diddy amekumbwa na makosa mengi ya uhalifu dhidi ya binadamu ikiwemo sexual trafficking. Aliwasaidia baadhi ya watu kwa yeye kujifaidisha kwanza.

Tuna watu hapa Tanzania ambao wameibuka kiuchumi from no where ambao huenda wamepitia magumu ya P Diddy na wenzake wa aina hii.

Pia, Soma: P. Diddy na kesi ya unyanyasaji wa Kingono

Hapa Tanzania hakuna fununu za Watanzania wenzetu waliotendewa vibaya na huyu bwana ili sheria ichukue mkondo wake, walipwe kwa uonevu?
 
Waswahili wengi wanachukia mtu akifanikiwa , usishangae vijana waliofanikiwa wakahusishwa na mambo ya ushoga ili mtu ajifariji tu na hali ya uchumi aliyo nayo 🤔
Hahaha huoni walivyomfukuza yule demu zuchu pale tatizo ni umasikini wao njaa Kali pale ndio wanatoa mawazo Kwa kumtukana msanii , 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Waswahili wengi wanachukia mtu akifanikiwa , usishangae vijana waliofanikiwa wakahusishwa na mambo ya ushoga ili mtu ajifariji tu na hali ya uchumi aliyo nayo 🤔
Kama umefanikiwa kwa kutembelea Marekani Kila wakati labda ndiko kutakakozua maswali
 
Vijana bongo wanabanduliwa San tu na matajiri na bazazi
Vijana si wanataka shotkut lazima wafumuliwe marinda

Ova
 
Kuna video ya Mtanzania mmoja maarufu sana huko nchini Tanzania kwenu, nimeona akiwa anatembea kwa kujikaza sana kama vile anaumia baada ya kutoka kwa P Diddy 😭
Mtaje anzia nyuma kwenda mbele herufi tutamjua tu nani
 
Back
Top Bottom