P DIDY wa Maimatha afariki dunia

This is a clear message to everyone. Kuna wengine walidhihaki mkuu wa nchi alivyoanguka. Nadhani km ni funzo soote tumeliona.
RIP
 
This is a clear message to everyone. Kuna wengine walidhihaki mkuu wa nchi alivyoanguka. Nadhani km ni funzo soote tumeliona.
RIP

Mkuu nadhani hapo nilipoweka wino mwekundu hapamuhusu marehemu

Rip P Diddy
 
nimeliona tukio hili majira ya mchana pale barabara ya lumumba opp na uwanja wa kidondo chekundu do poleni sana wafiwa
hii ni njia ya wote ila hakuna ajuaye muda
 

ndugu polen sana;yawezekana huyu akuwa amejitwika mzigo ...jk walimwahi akalikwepa haya mambo ya kuangushana jamani mpaka lini??mbona hivyo watanzania ama afya zetu tata
 


r.i.p kagisa

amemkosa kweli inaonekana kidume alitumika vizuri dunian jamani wenye info kaacha watoto wangapi
wajane atuitaji amchelewi kujitwika wengine ujane usio wenu maana sikuhzi dili
 
May you rest in peace Pdidy. pole sana Maimartha, Diamond Musica na familia kwa ujumla!
 
ndugu polen sana;yawezekana huyu akuwa amejitwika mzigo ...jk walimwahi akalikwepa haya mambo ya kuangushana jamani mpaka lini??mbona hivyo watanzania ama afya zetu tata
Nani kamuangusha???
RIP Kagusa.
 
Rip
tangulia mbele ya haki,sisi sote waja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…