P - Funk adai Fid Q ni MC namba moja duniani

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Yule mkali wa miondoko ya hip hop na producer namba moja aliyewahi kutamba kipindi cha nyuma P-funk majan amedai Fid q ndo mc namba moja dunian kote yaan hakuna zaid ya Fid q

Wawili hao ambao tayari wamerecord ngoma ya pamoja iitwayo mvua dude kali ambalo muda wowote litaachiwa hewan linalosubiliwa na mashabiki kwa hamu na mali. Fid q naye alimshukuru sana majan na kumwambia yeye ana mchango mkubwa sana kwenye mziki wa bongo

Kwa hiyo tukae tayali kulisubiri dude kali ngoma hatari kwa jina la mvua muda wowote litaachiwa
 
Huyo umbwa salu wote wanamukali ngosha kinoma afu wewe unaleta habar gan hapa
Tatizo la ngosha hayuko original,mistari yake mingi anachukua kwenye mavitabu na pop culture ya mbele,kwa wasio soma vitabu na kuelewa muziki wa america ndo watapagawa naye,sisemi kuwa sio mkali,nmeanza kumsikiliza fid q enzi za huyu na yule iko kwenye top twenty ya bamiza,he is one of the best,lakini sio The best of all
 
hapo kwenye red ungeandika shukuru sio shukulu
 
Farid namuelewa sana uandakaji wa mashairi sijamuona mwengine ila kama tujuzane wakuu.
ila jamaa ukiwa kilaza mwanzo mwisho humuelewi nini kawakilisha kwa hadhira inahitaji akili nyingi kumuelewa fid q.
Ingekua mbele basi fid ni jigga au kendrik
 
Genius mwenyewe husoma vitabu
 
Watu mnakalili sana jay z mwenyewe mistari mingi anaichukua kwenye mavitabu nishaona clip ya video flan walikuwa wanachambua mistari yake na reference za vitabu japokuwa kuwa clip haikuwa inalenga kusema jay z ana copy ilikuwa inaongelea mambo mengine kuhusu jay z.
hebu nipe mistari 10 ambayo fid katoa kwenye vitabu na uonyeshe ni vitabu gani..
Na sioni tatizo mtu kuchukua mistari ya busara kutoka kwenye vitabu alivyosoma maana kusoma ni kuongeza maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…