Madogo wa chuga hawapend kusikia hiz habar hata hapa huwez waonaFarid namuelewa sana uandakaji wa mashairi sijamuona mwengine ila kama tujuzane wakuu.
ila jamaa ukiwa kilaza mwanzo mwisho humuelewi nini kawakilisha kwa hadhira inahitaji akili nyingi kumuelewa fid q.
Ingekua mbele basi fid ni jigga au kendrik
Sijakataa,ila kuna vigezo vingi vya kufanya Mc awe bora,ikiwemo uandishi na delivery kwenye delivery hapa swala la flow linahusika,sasa msanii midondoko yako kila siku ileile tu inachosha,lazima uwe versatile,kwa maoni yangu mimi fid bado anaflow za kizamani sanaGenius mwenyewe husoma vitabu
Bas sawa tutalifanyia kaz wazo lakoSijakataa,ila kuna vigezo vingi vya kufanya Mc awe bora,ikiwemo uandishi na delivery kwenye delivery hapa swala la flow linahusika,sasa msanii midondoko yako kila siku ileile tu inachosha,lazima uwe versatile,kwa maoni yangu mimi fid bado anaflow za kizamani sana
Naona unataka hip hop ya bangi bangi kama ya chugaSijakataa,ila kuna vigezo vingi vya kufanya Mc awe bora,ikiwemo uandishi na delivery kwenye delivery hapa swala la flow linahusika,sasa msanii midondoko yako kila siku ileile tu inachosha,lazima uwe versatile,kwa maoni yangu mimi fid bado anaflow za kizamani sana
Sasa mkuu utaandika mistari ya Hip Hop bila kusoma vitabu?!Tatizo la ngosha hayuko original,mistari yake mingi anachukua kwenye mavitabu na pop culture ya mbele,kwa wasio soma vitabu na kuelewa muziki wa america ndo watapagawa naye,sisemi kuwa sio mkali,nmeanza kumsikiliza fid q enzi za huyu na yule iko kwenye top twenty ya bamiza,he is one of the best,lakini sio The best of all
Tatizo la ngosha hayuko original,mistari yake mingi anachukua kwenye mavitabu na pop culture ya mbele,kwa wasio soma vitabu na kuelewa muziki wa america ndo watapagawa naye,sisemi kuwa sio mkali,nmeanza kumsikiliza fid q enzi za huyu na yule iko kwenye top twenty ya bamiza,he is one of the best,lakini sio The best of all
Au joh makiniSasa mkuu utaandika mistari ya Hip Hop bila kusoma vitabu?!
Hata Tupac Alimsoma Makavel.
Kama usomi vitabu na kujifunza utaandika mistari mepesi kama Ney wa Mitego.
Kuna ile nyimbo yake kwenye chorus yupo na AY,anakwambia maisha yakienda kombo yaache usende nayo
Wala sheikh,sijapinga ya wengine,hili ni jukwaa la burudani kwahyo hata comments nazo ni zakiburudaniburudani,Ngosha anaweza akawa ama asiwe mc bora kuliko wote ndo tunajaribu kujadili hapaHaya ni maoni yako yanatakiwa yaheshimiwe lakini nashangaa wewe kupinga maoni ya wengine.
Sijakataa,ila kuna vigezo vingi vya kufanya Mc awe bora,ikiwemo uandishi na delivery kwenye delivery hapa swala la flow linahusika,sasa msanii midondoko yako kila siku ileile tu inachosha,lazima uwe versatile,kwa maoni yangu mimi fid bado anaflow za kizamani sana
I can name five mcs better than him
Acha utani mkuu unaamini ngosha ni mc no 1 duniani na ww au ndo tuseme uzalendo
Tatizo la ngosha hayuko original,mistari yake mingi anachukua kwenye mavitabu na pop culture ya mbele,kwa wasio soma vitabu na kuelewa muziki wa america ndo watapagawa naye,sisemi kuwa sio mkali,nmeanza kumsikiliza fid q enzi za huyu na yule iko kwenye top twenty ya bamiza,he is one of the best,lakini sio The best of all
Duh darasa alikua hiphop zamani ila sasa anaimba tu kama kibaPF FUNK aache bange.Namba moja ni DARASA
Fid mbona yuko flexible mkuu msikilize wa huyu na yule na fid wa roho utaniambiaSijakataa,ila kuna vigezo vingi vya kufanya Mc awe bora,ikiwemo uandishi na delivery kwenye delivery hapa swala la flow linahusika,sasa msanii midondoko yako kila siku ileile tu inachosha,lazima uwe versatile,kwa maoni yangu mimi fid bado anaflow za kizamani sana
Huyo Eminem mwenyewe Anasoma vitabu sasa wanataka fid asisome vitabu katika hip-hop knowledge ni muhim SanaWatu mnakalili sana jay z mwenyewe mistari mingi anaichukua kwenye mavitabu nishaona clip ya video flan walikuwa wanachambua mistari yake na reference za vitabu japokuwa kuwa clip haikuwa inalenga kusema jay z ana copy ilikuwa inaongelea mambo mengine kuhusu jay z.
hebu nipe mistari 10 ambayo fid katoa kwenye vitabu na uonyeshe ni vitabu gani..
Na sioni tatizo mtu kuchukua mistari ya busara kutoka kwenye vitabu alivyosoma maana kusoma ni kuongeza maarifa
Msimpe sifa hasizostahili mnampoteza ukweli ni kuwa Fid ni mkali lakini mmemzidishia sifa ambazo anasagari ndefu kuzifikiaWENGI MLIBEBWA MGONGONI HAMUWEZI JUA UMBALI WA SAFARI